Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 3,877
- 3,675
Wew ndiye mwalimu msahihisha Insha eeeeOne way opinion; percent
Reality 0.01 percent
Current truth; percent
Real reality; 200 percent
Other; .....
Wew ndiye mwalimu msahihisha Insha eeeeOne way opinion; percent
Reality 0.01 percent
Current truth; percent
Real reality; 200 percent
Other; .....
Mwanamke akinuna we nuna mara tatu zaid yake , utamwona anashuka ye mwenyewMimi ni kijana ambaye tayari nina miaka 30, nilifunga ndoa yangu mwaka 2019. Ndoa yangu imekuwa ya furaha kwa miezi 6 pekee baaada ya hapo mambo yaliharibika na sijui ni kwanini.
Nakumbuka siku moja natoka zangu kazini namkuta wife kajamu, nilipouliza kulikoni sikupata jibu, kuanzia hapo hatuna mawasiliano zaidi ya kuwasiliana kama kuna kitu kimepungua nyumbani nitapewa taaarifa.
Uchumi wangu umeyumba sababu ya hizi vurungu, nimefunga nakuomba hakuna ndoa haitulii kuna wakati nikiona mtu na mke wake wakitembea njiani huku wakipiga stori na kucheka naona nijambo la ajabu nijiuliza inawezekanaje hii?
Nimejaribu kushirikisha ndugu zake bado hatoi majibu nini ambacho nilimkosea. Kiukweli nimestuka baada ya watu wawili kuniuliza kwanini nakonda, kwanini sina amani kama zamani?
Mimi ndugu zangu ni bingwa wa kuvumilia matatizo lakini kwa hili nimenyoosha mikono nimeamua niondoke nikaaanze maisha mapya ili nipate amani ya moyo wangu, Mungu ataibarika kazi ya mikono yangu nitainuka tena.
Daaah aisee 😂😂😂😂😂Inaonekana hujamzalisha, inaonekana hujampa mimba.
Ikiwezekana ongeza mke wa pili ufute machungu.
Umesema pia umefunga na kuomba lakini mambo ni yale yale, mungu hasaidii mkuu, kwenye hali kama hzo mungu hana msaada.
huwajui wanawake mkuu. eti hawezi kununa from nowhere?Hawezi kununa from nowhere kuna sehemu utakuwa "UMEBUTUA" ,mpe zawadi ya pesa akafanye shopping atakwambia tatizo ni nini.