Kinaeleweka
Senior Member
- Nov 10, 2014
- 145
- 104
Habari wanaJamiiForums.
Mara nyingi nakuwa na maswali yanayonisumbua kuhusu tofauti yetu ya umri.
Nahitaji kuoa, ila tofauti yetu ya umri inanitatiza kidogo kwani nahisi gap ni kubwa zaidi.
Nahitaji ushauri wenu.
Mara nyingi nakuwa na maswali yanayonisumbua kuhusu tofauti yetu ya umri.
Nahitaji kuoa, ila tofauti yetu ya umri inanitatiza kidogo kwani nahisi gap ni kubwa zaidi.
Nahitaji ushauri wenu.