Nimemwambia aachane na Habari za Kuoa. Afanye issues nyingine kwanza

Jaribu tu kuheshimu watu usiowafahamu. I have my life and you have yours. Why dont you stick on yours? Hufahamu umri wangu why you disrespect me? Wanawake wengi wa humu you like to be mistreated. Hampendi kujiheshimu.sisi wengine hatukuelelwa kutukanana na watu. Thats why we mind our own business. Sijawahi mkosea heshima anybody humu JF. Coz i have my own life. Msitake kuzoeana na watu kwa style hiyo ya kukoseana heshima.
Hata hivyo nadhani hujaelewa.kwanza nilikuwa sikujibu wewe nilimjibu aliesema eti ntaingia ndoano univue. Na mm ndo nikamjibu kuwa siwezi vuliwa na watoto wadogo. Na sio kila mtu anaecomment uzi zako lazima akutamani. Ndicho nilichojaribu kumjibu alonambie eti utanivua.
Rudi page ya 2 uone kwa nini nilimjibu hivyo huyo membe na sio wewe.
Na nilimjibu hivyo coz naamini nakuzidi umri.
Hawezi from no where aniambie eti utanivua as if ananijua. Ilibidi nimjibu coz i have my class. Mm ni tofauti kabisa na watoto wa humu.ambao anahisi wanaweza vuliwa kirahisi.
Rudi usome ujuwe nilikuwa namjibu nani na sio wewe.
 
Hivi hao wote unaowaona wameoa wanayo hayo maisha unayolazimisha...!?
Kila mtu ana level yake ya maisha watu wanaoa na wana laki mbili tu na maisha yanaenda fresh tu...
 
Swali langu mimi ni lile lile mkuu ile Mark II iko wapi? Ulikua una cruise nayo mitaa ya barakuda...kupitia vingunguti...daah ile picha yako hahahaah
 
Jamaa yangu wa kazini leo kaja home kunichukua twende meneo ya uswahilini anakoishi. Anaishi Kijitonyama. Ni maeneo yenye msongamano sana kwa kweli sijui tu why serikali isingebomoa Sinza,Kijitonyama n.k halafu zikajengwa nyumba nzuri za kisasa.

Jamaa anatumia Toyota Prado.akasema niende naye town akanunue Pete kwa ajili ya Mchumba wake. Anataka oa. Tukapita kituo cha mafita akaweka mafuta ya tsh 30,000 hapo nikashtuka. 30,000 kweli unaamini hayo ni mafuta ya gari au pikpik?nikaona isiwe shida nikampa 100,000. Maana wasiwas wangu ni kuwa tunaweza zimikiwa njiani.

Akaongeza hapo nikawa na amani sasa. Prado si mbaya sana ingawa naona kama ni nyepesi na ukipanda unayasikia mashimo kwenye hizi lami zetu.haijatulia kama RR,Benz,Jeep,VW,BMW na GMC hizi gari nzito zina absorb mashimo.

Tupo town kununua pete nikaona pete nzuri ina Tanzanite tsh 8,500,000. Nikamwambia achukue hiyo kwa ajili ya uchumba. Jamaa kiswahili kikawa kingi mwishowe kanunua pete tsh 1,100,000. Nimemshangaa jamaa.

Nimemuuliza hivi anampenda kweli huyo bint?amejipanga kuishi vizuri na mtoto wa watu? Mafuta kwenye gari anaweka tsh 30,000 pete ananunua ya milion moja na lakh moja.yupo serious kweli? Asije oa mtoto wa watu akaenda mtesa tu huko.

Nikamwambia angalau tufike duka flani hivi posta lina vitu vya kike quality.kashindwa mnunulia mchumba wake saa ya tsh 720,000 tu. Anasema ghali atamtafutia ya tsh 100,000. Ninejisikia vibaya sana.

Basi tukiwa tunarudi ndo nikamuuliza unataka kuoa una tsh ngapi ananambia ana tsh mil 12,000,000. Nmechoka. Nimemwambia aachane na habari za kuoa. Ajipange tu kwanza. Asije enda mtesa mtoto wa watu. Hapo anasema anategemea michango yetu. Why uoe wewe sisi tukuchangie? Anyway.nmemwambia ntamchangia but inabidi ajipange apate pesa.

Otherwise kwa sasa asioe kwanza. Ajipange kimaisha. Akipata pesa ndo aoe. Pia asiende ishi na bint wa watu kijitonyama. Atafute apartment huku Oyersterbay hata ya tsh 2,500,000 kwa mwezi huku akijipanga zaidi.

Sometimes unasema msichana si mzuri kumbe mazingira unayoishi naye. Huku Obay upepo upo 24x7 na nyumba za huku ni Full Ac. Kama yangu hadi kibarazani kuna AC.

Mi nlishawaambia sana vijana. Kabla hujaoa jipange kwanza.usiende mtesa mtoto watu maskini. Nimemwambia jambo hilo hajajibu mpaka sasa sijui atanifikiriaje ila ndo ukweli usioe kama huna pesa za uhakika.
Katika ubora wako, karibu tena mzee baba!!

NB: Ujumbe umefika!
 
Alaf mwanamke mwenyew ukute ni screpa zaidi ya siso.. izi ghalama labda nioe princess lakin sio awa wa uswahilin
 
Hata hivyo nadhani hujaelewa.kwanza nilikuwa sikujibu wewe nilimjibu aliesema eti ntaingia ndoano univue. Na mm ndo nikamjibu kuwa siwezi vuliwa na watoto wadogo. Na sio kila mtu anaecomment uzi zako lazima akutamani. Ndicho nilichojaribu kumjibu alonambie eti utanivua.
Rudi page ya 2 uone kwa nini nilimjibu hivyo huyo membe na sio wewe.
Na nilimjibu hivyo coz naamini nakuzidi umri.
Hawezi from no where aniambie eti utanivua as if ananijua. Ilibidi nimjibu coz i have my class. Mm ni tofauti kabisa na watoto wa humu.ambao anahisi wanaweza vuliwa kirahisi.
Rudi usome ujuwe nilikuwa namjibu nani na sio wewe.
Its very stupid to think unanizidi umri wakati hunifahamu. Ndo maana nikakwambia kama humfahamu mtu jiheshimu tu wewe inatosha. Hunifahamu na hufahamu umri wangu. Elewa tu hilo ndo la msingi zaidi. Napenda kumheshimu mtu yeyote hata kama nimemzidi akili,uwezo na uelewa. Huoni nikimjudge anybody. Nasisitiza tu. Just respect yourself as well as others. I am done.
 
Brother,thread za Magu ni ngumu sana, labda uje na mafumbo mazito mazito sana ambayo hata wao wenyewe washindwe elewa nani analengwa,serikali yetu sasa hivi utasikia Melo kapandishwa kizimbani! Si katoka kulipa fine juzi kati tu hapa kwenye kesi mbili hivi
Tuhamie love connect tu
 
Its very stupid to think unanizidi umri wakati hunifahamu. Ndo maana nikakwambia kama humfahamu mtu jiheshimu tu wewe inatosha. Hunifahamu na hufahamu umri wangu. Elewa tu hilo ndo la msingi zaidi. Napenda kumheshimu mtu yeyote hata kama nimemzidi akili,uwezo na uelewa. Huoni nikimjudge anybody. Nasisitiza tu. Just respect yourself as well as others. I am done.
Kwa hiyo kusema nakuzidi umri ndo unimiminie haya matusi yote? Sawa kuanzia leo ntajiheshimu ila na wewe heshimu ndomo wako unaotoa matusi kiasi hiki.after all nyuzi za kusoma zipo nyingi sio zako.
 
Kwa hiyo kusema nakuzidi umri ndo unimiminie haya matusi yote? Sawa kuanzia leo ntajiheshimu ila na wewe heshimu ndomo wako unaotoa matusi kiasi hiki.after all nyuzi za kusoma zipo nyingi sio zako.
Sijakutukana mimi sikuwahi fundishwa matusi sometimes nawalaumu wazazi wangu kunilea hivyo. Nitajiabisha sana kama ntatukanana na mtu hasa wewe.ktik hilo amini huwa situkani mtu yeyote.

Nasisitiza hunifahamu nami sikufahamu. Ibaki hivyo tu. There are so many threads to read. Aint nobody who gonna blame you for not reading their threads. Just respect everybody in the hood. Espec those you know nothin bout dem.

And dont force people to treat you like a trash just because of your background and the hood you were risen. Let just everybody sees good in you even though it aint so.
 
Tunakupata vyema hku Mwanza 98.06 Mpenda sifa fm.

Bro naona hoja yako haina nyama za kutosha, usimlazimishe mwenzio kufanya mambo ambayo yapo chini ya uwezo wake,
Kila mbuzi hula kulingana na urefu wa kamba yake, japo kujipanga ni mhimu.
 
Erick shigogo njoo umchukue mwanafunzi wako wa story za kusadikika, hahahaha, jamaa hauoni aibu kutudanganya wanaume wenye nywele zetu sehemu tatu za mwili🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
45 Reactions
Reply
Back
Top Bottom