Nimemuongezea ulinzi mchumba wangu

FUSO

JF-Expert Member
Nov 19, 2010
31,599
37,797
Ndugu wanajamvi,

Kama mnavyojua ulinzi ni kitu muhimu sana, hata nchi zinakuwa na jeshi ili kuhakikisha adui hapenyezi wa namna yoyote ile. Ulinzi huanzia ngazi ya taifa, kaya hadi mtu binafsi. Yote haya ni kumwepusha na figisu za vijana wa mjini ili tuweze kufunga pingu za maisha mwakani kwa usalama na amani.

Nilifikia uamuzi huu muhimu maana sitaki mwisho wa siku tushirikiane na watu ambao kazi yao ni kujaribu kudokoa matunda ya wenzao, yaani mimi nilime, ninyweshee maji kisha matunda tule wote - hilo ni BIG NO!

Sitaki kusikia ushauri ule wa Traditional wa eti mwanamke anajilinda mwenyewe, huu ni ushauri mfu ambao haupimiki kabisa hata kwenye mizani, abiria lazima uchunge mzigo wako kuanzia mwanzo wa safari hadi utakapofika stendi, upotevu wa mzigo wako hutaweza kumlaumu Konda, Dereva ama muhudumu yoyote wa kwenye gari sababu huo utauwa ni uzembe wako.

Sasa hatua nilizochukua kuimarisha ulinzi kwa my wife to be, kwa nia nzuri kabisa, na kwa kutumia mbinu za medani nimefanikisha yafuatayo:- kama nilivyowaeleza mwanzo kwamba ulinzi ni jukumu la kila raia ndani ya nchi yetu.

1. Kujiunga kwenye magroup yake yote ya WhatsApp bila yeye kujua - naona kila anachopost.
2. Nimehakikisha najua Username na Password zake zate za mitandano ya Kijamii, hata ID yake ya humu JF nimeshainyaka pia.
3. Napata copies za SMS zake zote za WhatsApp kila akipost, hii usiniulize kwa namna gani nimefanikisha hili.
4. Napata copy za calls zake anazopiga na kupigiwa na mtu yoyote yule, then nazifanyia kazi, zile nazoona zinataka kuleta hali hatarishi basi muhusika nahangaika nae.

Ya tano bado naifanyia kazi - hii nawasiliana ma mtalaam wangu ili tuone namna nzuri ya kuifanyia implementation bila kumtelea madhala makubwa sana mdokozi wa mali za watu kwa kutumia nguvu za giza!

Mwanaume usiye na wivu basi una mapungufu, ulinzi ni kitu muhimu usijidanganye uta-share na watu bila wewe kujijua, yawezekana hata marafiki zako wakawa wanakula mzigo na wanakusanifu tu, wanawake wameumbwa na siri nzito, kuweni makini. Mimi mimeshachukua hatua wewe je?

Mlinde mkeo, mlinde mchumba wako, mlinde mpenzi wako.

Nawatakia siku njemaaa.

BY Fuso!
 
jealousy.jpg
 
Ndugu wana Jamvi,

Kama mnavyojua Ulinzi ni kitu muhimu sana, hata nchi zinakuwa na jeshi ili kuhakikisha adui hapenyezi wa namna yoyote ile. Ulinzi huanzia ngazi ya Taifa, Kaya hadi mtu binafsi. Yote haya ni kumwepusha na figisu za vijana wa mjini ili tuweze kufunga pingu za maisha mwakani kwa usalama na amani.

Nilifikia uamuzi huu muhimu maana sitaki mwisho wa siku tushirikiane na watu ambao kazi yao ni kujaribu kudokoa matunda ya wenzao, yaani mimi nilime, ninyeweshee maji kisha matunda tule wote - hilo ni BIG NO!!

Sitaki kusikia ushauri ule wa Traditional wa eti Mwanamke anajilinda mwenyewe, huu ni ushauri mfu ambao haupimiki kabisa hata kwenye mizani, abilia lazima uchunge mzigo wako kuanzia mwanzo wa safari hadi utakapofika stendi, upotevu wa mzigo wako hutaweza kumlaumu Konda, Dereva ama muhudumu yoyote wa kwenye gari sababu huo utauwa ni UZEMBE wako.

Sasa hatua nilizochukua kuimarisha Ulinzi kwa MAI wife to be, kwa nia nzuri kabisa, na kwa kutumia mbinu za mendani nimefanikisha yafuatayo:- kama nilivyowaeleza mwanzo kwamba ULINZI ni jukumu la kila Raia ndani ya nchi yetu.

1. Kujiunga kwenye magrupu yake yote ya WAZUP bila yeye kujua - naona kila anachopost.
2. Nimehakikisha najua Username na Password zake zate za mitandano ya Kijamii,kwa hata ID yake ya humu JF nimeshainyaka pia.
3. Kuhakikisha sms zake za WAZUP kila akipost zinacopy kwangu, hii usiniulize kwa namna gani nimefanikisha
4. Napata kila copy ya simu anayopigiwa na mtu yoyote yule, mimi ntazifanyia kazi nazoona zinataka kuleta hali hatarishi.

Ya tano bado naifanyia kazi - hii nawasiliana ma mtalaam wangu ili tuone namna nzuri ya kuifanyia implementation bila kumtelea madhala makubwa sana mdokozi wa mali za watu!!

Mwanaume usiye na wivu basi una MAPUNGUFU, ulinzi ni kitu muhimu usijidanganye uta-share na watu bila wewe kujijua, yawezekana hata marafiki zako wakawa wanakula mzigo na wanakusanifu tu, wanawake wameumbwa na SIRI nzito, kuweni makini. Mimi mimeshachukua hatua wewe je?

Mlinde Mkeo, Mlinde mchumba wako, Mlinde mpenzi wako. Nawatakia siku njemaaa.......

BY Fuso!!!!

Mwanamke alindwi, let's say it's 20% by 80%..... 80% aamue mwenyewe kujilinda. Wakati nasoma chuo kuna Mzee mmoja tajiri kweli alikuwa na mke mzuri anampa kila kitu na kumwamini balaa, Siku moja katoka, ajanipigia niende nikachukue gari kwake nimsaidie kazi, nikakuta mke wake kabamizwa ukutani na mtoto wa jirani wa form two, Shemeji yangu kalalama huyo, nikamwambia sitasema wala usijali, mpaka Leo Ni Siri yangu wala Yule Mzee ajui, ukimwambia mke wake analiwa hamtaelewana, nikapata somo nikasonga. Mwanamke bwana is something else, anaweza Tembe hata na toyo buy ambaye humuwazii!!!! Kama unabisha na uko tayari Ni pm Mimi nitakuelekeza namna ya kuhakikisha Weza analiwa au Vipi, Nina ka program nilikanunua India kanafukunyua simu balaa hata Kama text zimefutwa, kwa mtu ordinary mtumiaji wa simu utamshika tu.
 
you are wasting time mkuu,acha ajilinde mwenyewe binadamu halindwi kama mnyama
 
Ndugu wana Jamvi,

Kama mnavyojua Ulinzi ni kitu muhimu sana, hata nchi zinakuwa na jeshi ili kuhakikisha adui hapenyezi wa namna yoyote ile. Ulinzi huanzia ngazi ya Taifa, Kaya hadi mtu binafsi. Yote haya ni kumwepusha na figisu za vijana wa mjini ili tuweze kufunga pingu za maisha mwakani kwa usalama na amani.

Nilifikia uamuzi huu muhimu maana sitaki mwisho wa siku tushirikiane na watu ambao kazi yao ni kujaribu kudokoa matunda ya wenzao, yaani mimi nilime, ninyeweshee maji kisha matunda tule wote - hilo ni BIG NO!!

Sitaki kusikia ushauri ule wa Traditional wa eti Mwanamke anajilinda mwenyewe, huu ni ushauri mfu ambao haupimiki kabisa hata kwenye mizani, abilia lazima uchunge mzigo wako kuanzia mwanzo wa safari hadi utakapofika stendi, upotevu wa mzigo wako hutaweza kumlaumu Konda, Dereva ama muhudumu yoyote wa kwenye gari sababu huo utauwa ni UZEMBE wako.

Sasa hatua nilizochukua kuimarisha Ulinzi kwa MAI wife to be, kwa nia nzuri kabisa, na kwa kutumia mbinu za mendani nimefanikisha yafuatayo:- kama nilivyowaeleza mwanzo kwamba ULINZI ni jukumu la kila Raia ndani ya nchi yetu.

1. Kujiunga kwenye magrupu yake yote ya WAZUP bila yeye kujua - naona kila anachopost.
2. Nimehakikisha najua Username na Password zake zate za mitandano ya Kijamii, hata ID yake ya humu JF nimeshainyaka pia.
3. Napata copies za SMS zake zote za WAZUP kila akipost, hii usiniulize kwa namna gani nimefanikisha hili.
4. Napata copy za calls zake anazopiga na kupigiwa na mtu yoyote yule, then nazifanyia kazi, zile nazoona zinataka kuleta hali hatarishi basi muhusika nahangaika nae.

Ya tano bado naifanyia kazi - hii nawasiliana ma mtalaam wangu ili tuone namna nzuri ya kuifanyia implementation bila kumtelea madhala makubwa sana mdokozi wa mali za watu kwa kutumia nguvu za giza!!

Mwanaume usiye na wivu basi una MAPUNGUFU, ulinzi ni kitu muhimu usijidanganye uta-share na watu bila wewe kujijua, yawezekana hata marafiki zako wakawa wanakula mzigo na wanakusanifu tu, wanawake wameumbwa na SIRI nzito, kuweni makini. Mimi mimeshachukua hatua wewe je?

Mlinde Mkeo, Mlinde mchumba wako, Mlinde mpenzi wako. Nawatakia siku njemaaa.......

BY Fuso!!!!

It takes 2ms mwanamke kuliwa. Mwanamke kulala na mwanaume Ni feelings and not physical na Haya Mawivu yako najua feelings na wewe Ni ndoto, mapenzi kwako yeye Ni wajibu..... Pole maana ataliwa tu
 
Back
Top Bottom