Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Hamna mwanamke kama wewe hiyo tu nikujibaraguza.
Tayari hapo Kuna kamlango kamefinguka na vya sirinj vimeshaonekana , Ile trust uliyokua nayo tayari inaanza kumomonyoka kidogo kidogo, kama barafu inavyoyeyuka juani.
Kwanza inaweza kuanza kujitenga kidogo kidogo , the conversation will feel different, the natural connection of haerts zitapungua , hutamjua Tena kama ulivyokua unamjua, utampa sex lakini hutampa hutafungua moyo wote katika tendo Hilo.
Usirahishe sana hili jambo it's either likusombe na wewe yaan wewe pia kuwaza kulipa na kujustfy kulipa kisasi, au unaweza kulishinda na ukabaki imara daima ukamponya mmeo pia.
Wanaume do acts like babies na fools na tunayo majuto mengi ya maamuzi yetu ila hatuachi tunarudia Tena na Tena.
Tunahitaji wake WA kutukumbusha sisi tuna thamani ipi katika familia zetu na mke amabyo pia atazido kuonyesha thamani Yake kwetu na hata kujiongezea thamani zaidi kwa kujua Nini mme wake ana value sana kwake.
Omba sana Neema maana kwa binadam ni ngumu ila kwa Mungu yote yanawezekana.
 
Hamna mwanamke kama wewe hiyo tu nikujibaraguza.
Tayari hapo Kuna kamlango kamefinguka na vya sirinj vimeshaonekana , Ile trust uliyokua nayo tayari inaanza kumomonyoka kidogo kidogo, kama barafu inavyoyeyuka juani.
Kwanza inaweza kuanza kujitenga kidogo kidogo , the conversation will feel different, the natural connection of haerts zitapungua , hutamjua Tena kama ulivyokua unamjua, utampa sex lakini hutampa hutafungua moyo wote katika tendo Hilo.
Usirahishe sana hili jambo it's either likusombe na wewe yaan wewe pia kuwaza kulipa na kujustfy kulipa kisasi, au unaweza kulishinda na ukabaki imara daima ukamponya mmeo pia.
Wanaume do acts like babies na fools na tunayo majuto mengi ya maamuzi yetu ila hatuachi tunarudia Tena na Tena.
Tunahitaji wake WA kutukumbusha sisi tuna thamani ipi katika familia zetu na mke amabyo pia atazido kuonyesha thamani Yake kwetu na hata kujiongezea thamani zaidi kwa kujua Nini mme wake ana value sana kwake.
Omba sana Neema maana kwa binadam ni ngumu ila kwa Mungu yote yanawezekana.
Yote yaliisha sasa ni historia..
Japo uliyoyasema ni kweli kabisa...
He is there for me and our family that is all matters...
Otherwise Neema ya Mungu yatosha...
 
Nimepasha kiporo juzi kati cha ex ana watoto wawili ila haishi na wanaume wote waliomzalisha anapigaa vizingaa huyooo nimejikutaa namkaushiaa tuu apite hiviii
 
Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? Jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".

Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.

He is so good kwetu mimi na watoto yaani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.

Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.

Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?

Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Aisee hatari! Kumbe nawe wajanja wameonja de libolo la mume🤣🤣🤣🤣
 
Halooo, unamuonea huruma??
Ningekuwa mimi kwenye hiyo nafasi yako sijui ingekuwaje yaani. Vile ningeliamsha dudeee.
Hawa sasa ndio wanawake super woman. Mwanamke unakaaje kiboya boya huku unajua mume ana mcheps, unaanzisha timbwili mpaka ajue kiwa wee hutaki ugense kwenye ndoa yako. Mweleze huyo anazingua kwa kutokuanzisha varangati
 
☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️
 
Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? Jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".

Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.

He is so good kwetu mimi na watoto yaani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.

Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.

Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?

Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Mloge mapema kabla hajalogwa na mpango wa kando
 
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Dah mtuombee sana sana maana Kuna nyakati mchepuko anazingua hadi unatamani umwambie My Wife wako!
 
Status
Not open for further replies.
107 Reactions
Reply
Back
Top Bottom