Hasa watu wa rika lake... Tukimuona tukimtizama tunaona labda kama alirogwa hivii...!!?
Kwani ni nini hasa kilimkuta!!!??? Hata aamue kuuvaa Ujinga!?
Hasa watu wa rika lake... Tukimuona tukimtizama tunaona labda kama alirogwa hivii...!!?
Kwani ni nini hasa kilimkuta!!!??? Hata aamue kuuvaa Ujinga!?
Acha ukweli basiUjinga gani kauvaa kukubali ukuu wa wilaya kuongoza wananchi? Hivi unamdanganya nani hapa kupitia simu yako. Ungakataa cheo wewe au kazi ya hivyo? Unadhani mbowe anatafuta madaraka ili akupe wewe maendeleo au afanikishe yake. Utakuwa pumbavu sana kama ndo unakaa hapa unaamini hayo.
Short and clear!Watu wanaigiza sana, hata Enzo za Yesu kuna watu walimfuata sababu ya Mikate
Mjinga ni wewe usiekubali kutofautianaHasa watu wa rika lake... Tukimuona tukimtizama tunaona labda kama alirogwa hivii...!!?
Kwani ni nini hasa kilimkuta!!!??? Hata aamue kuuvaa Ujinga!?
njaa....njaa mbaya.Hasa watu wa rika lake... Tukimuona tukimtizama tunaona labda kama alirogwa hivii...!!?
Kwani ni nini hasa kilimkuta!!!??? Hata aamue kuuvaa Ujinga!?
Povu kama loteeeUjinga gani kauvaa kukubali ukuu wa wilaya kuongoza wananchi? Hivi unamdanganya nani hapa kupitia simu yako. Ungakataa cheo wewe au kazi ya hivyo? Unadhani mbowe anatafuta madaraka ili akupe wewe maendeleo au afanikishe yake. Utakuwa pumbavu sana kama ndo unakaa hapa unaamini hayo.
Duh umepiga mulemule Mkuu...kwa kuongeza kwani Mbowe anavyong'ang'ania madaraka ni kwa faida ya nani.Ujinga gani kauvaa kukubali ukuu wa wilaya kuongoza wananchi? Hivi unamdanganya nani hapa kupitia simu yako. Ungakataa cheo wewe au kazi ya hivyo? Unadhani mbowe anatafuta madaraka ili akupe wewe maendeleo au afanikishe yake. Utakuwa pumbavu sana kama ndo unakaa hapa unaamini hayo.