The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,279
Sio m'baya , dogo Yuko vizuri , ingawa sometimes ana lose concentration ya kujilinda , ngumi sio mchezo mkuu
Sio m'baya , dogo Yuko vizuri , ingawa sometimes ana lose concentration ya kujilinda , ngumi sio mchezo mkuu
Nilifurahia mpambano wa wale wadada, mmoja wa kenya na mwingine wa Zambia. Mwakinyo sikufurahia pambano lake, sikulielewa, nadhani nikiangalia pambano linguine ndo nita m judgeNiwe tu muwazi kwamba mimi si mtaalamu wa mambo ya boxing ila ni mfuatiliaji na mshabiki wa mchezo huu toka enzi za akina Tyson za kuamka alfajiri kusubiri pambano na Lewis. So ni shabiki wa mchezo ila si mwenye taalum nalo.
Jana majira ya saa nne usiku kulikuwa na pambano la masumbwi lililowakutanisha mtanzania mwenzetu Hassan Mwakinyo mwenye umri wa miaka 24 na muajentina Sergio Gonzales mwenye miaka 40.
Binafsi nililisubiri sana kwa hamu pambano hilo kutokana na ukweli kwamba nilikuwa sijawahi kushuhudia pambano la mtanzania mwenzangu Mwakinyo akipigana live zaidi ya kuona vipande tu vya youtube.
Jana nikatoka zangu mihangaikoni mapema kurudi nyumban kuona ndondi.
Ndondi zilikuwa za round 8 katika pambano ambalo halina mkanda. Lilianza round ya kwanza kwa kusomana mchezo baina ya wapinzani hawa wawili.
Kwa muda mfupi niliona kitu kwamba yule mzungu japo alikuwa umri umeenda lakini yupo makini sana ukimlinganisha na ndugu yetu ambaye mara zote alikuwa anarusha ngumi upepo bila kufika target.
Kwa mtu aliyeona pambano atakubaliana na mimi kwamba Mwakinyo alikuwa anapigwa sana ngumi za uso mpaka akaanza kupanic.
Hii ilimpelelea kuanza kurusha ngumi hovyo kabsa ndio zile zikawa znampiga jamaa mabegani na tumboni.
Mpaka round ya tano ambayo mzungu amekaa chini ni zile jamaa kampiga begani mkono ukashindwa kufanya kaz mwamuzi akaamua kuahirisha pambano kwa mahesabu ya TKO.
Maoni yangu ni kwamba the guy ni mzuri sana endapo atapata kocha mzuri atafika mbali maana umri bado unaruhusu ndio kwanza ana miaka 24. Lakini pia mwili wake umefanana na huu mchezo ambapo ndio credit kubwa pia.
Hassani bado hajaiva kuwa bingwa wa dunia wa kuweza kuhimili mikiki ya walimwengu kwenye uwanja wa boxing.
Kwa upiganaji wa jana kama angekutana na mtu mwenye ngumi nzito basi pambano lingeisha round ya tatu kwa yeye kupigwa.
Ongeza sana bidii ya mazoezi hasa upande wa kucheza na sura ya mpinzani wako.
Uzuri ni kwamba umekuja kipindi ambao nchi ina mwamko kwenye michezo na mambo mengine hivyo support unaipata, wenzio wakina Matumla walipigana kipindi hata google hakuna achana na whatsapp, facebooka au instagram.
Kila la kheri katika maisha yako ya michezo.
Hapa kwa uandikaji wa siku hizi, wachache utaelewana nao. Una maana "ana uwezo" katika maana ya "he is able" au "hana uwezo" katika maana "he is unable"???? Kwa sababu hiyo "h" kukosekana au kuwepo, inaleta maana mbili tofauti kabisa. Please clarify, ni "ana" au "hana"???mwakinyo ana uwezo wa kumpiga antony joshua
TKO ni ile bondia anakula ngumi hadi refa anamuonea huruma kwamba atakufa huyu, TKO bondia ahesabiwi ile 1 hadi 10.Mkuu ni TKO fuatilia pambano uone.
Hao kina Dulla Mbabe ndo hamna kitu kabisa, wanapigana kama ameatur, rejea pambano lake na Cheka. Mwakinyo kidogo anaonesha utofauti, japo ana tatizo la defence, akirekebisha hilo atafika mbali maana kurusha ngumi kali anawezaMarehemu Thomas Mashali, Mbwana Matumla hawa ndio walikuwa maboxer, Marehemu Mashali alikosa discipline ya maisha akapotea.. Kwa sasa namuona Dullah Mbabe anakuja vizuri huyu Mwakinyo amepata promota au management nzuri inambeba lakini ni wa kawaida sana..
Watanzania wenzangu michezo ni fursa hebu wale wenye vipato mjaribu kuchukua management ya hawa watu kuanzia boxing, football na basketball.. Uwekezaji kwenye tasnia ya sports unalipa..na Tanzania vipaji viko vingi tatizo havifikiwi na hakuna watu serious wakuendesha hii biashara.. Nawaona maboxer wengi sana uswahilini huko ambao kama wanapata bahati ya kuingia kwenye ring za USA na EUROPE ni biashara kubwa sana..
Heavyweight vs Welterweight?mwakinyo ana uwezo wa kumpiga antony joshua
Akikutana na mtu wa jamii ya Mayweather atachoka mapema, maana akirusha ngumi zake 20 zinaweza kumpata mbili tu tena dhaifu kwa jinsi jamaa anavyojua kukwepa, matokeo yake atachoka mapema na kupigwa kirahisiKuna pambano moja la mwakinyo alimpiga mzungu kwa KO, alichotumia ni kushambulia kwa kurusha ngumi nyingi mfululizo hadi mzungu akalemewa. Nadhani siyo technique nzuri sana ukikutana na bondia mwenye physique nzuri na ngumi nzito, kwa sababu unaporusha ngumi nyingi sana ambazo hazilengi target unakosa concentration katika kujilinda na possibly unaweza kuchoka mapema
RIP mwakinyo,mwakinyo ana uwezo wa kumpiga antony joshua
Hapana mkuu hiyo sio nzuri Sana atumie chattopaw itamsaidiaDuh, inabidi abadili kidogo ajaribu Northpaw nadhani inaweza ikamrahisishia ushindi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niwe tu muwazi kwamba mimi si mtaalamu wa mambo ya boxing ila ni mfuatiliaji na mshabiki wa mchezo huu toka enzi za akina Tyson za kuamka alfajiri kusubiri pambano na Lewis. So ni shabiki wa mchezo ila si mwenye taalum nalo.
Jana majira ya saa nne usiku kulikuwa na pambano la masumbwi lililowakutanisha mtanzania mwenzetu Hassan Mwakinyo mwenye umri wa miaka 24 na muajentina Sergio Gonzales mwenye miaka 40.
Binafsi nililisubiri sana kwa hamu pambano hilo kutokana na ukweli kwamba nilikuwa sijawahi kushuhudia pambano la mtanzania mwenzangu Mwakinyo akipigana live zaidi ya kuona vipande tu vya youtube.
Jana nikatoka zangu mihangaikoni mapema kurudi nyumban kuona ndondi.
Ndondi zilikuwa za round 8 katika pambano ambalo halina mkanda. Lilianza round ya kwanza kwa kusomana mchezo baina ya wapinzani hawa wawili.
Kwa muda mfupi niliona kitu kwamba yule mzungu japo alikuwa umri umeenda lakini yupo makini sana ukimlinganisha na ndugu yetu ambaye mara zote alikuwa anarusha ngumi upepo bila kufika target.
Kwa mtu aliyeona pambano atakubaliana na mimi kwamba Mwakinyo alikuwa anapigwa sana ngumi za uso mpaka akaanza kupanic.
Hii ilimpelelea kuanza kurusha ngumi hovyo kabsa ndio zile zikawa znampiga jamaa mabegani na tumboni.
Mpaka round ya tano ambayo mzungu amekaa chini ni zile jamaa kampiga begani mkono ukashindwa kufanya kaz mwamuzi akaamua kuahirisha pambano kwa mahesabu ya TKO.
Maoni yangu ni kwamba the guy ni mzuri sana endapo atapata kocha mzuri atafika mbali maana umri bado unaruhusu ndio kwanza ana miaka 24. Lakini pia mwili wake umefanana na huu mchezo ambapo ndio credit kubwa pia.
Hassani bado hajaiva kuwa bingwa wa dunia wa kuweza kuhimili mikiki ya walimwengu kwenye uwanja wa boxing.
Kwa upiganaji wa jana kama angekutana na mtu mwenye ngumi nzito basi pambano lingeisha round ya tatu kwa yeye kupigwa.
Ongeza sana bidii ya mazoezi hasa upande wa kucheza na sura ya mpinzani wako.
Uzuri ni kwamba umekuja kipindi ambao nchi ina mwamko kwenye michezo na mambo mengine hivyo support unaipata, wenzio wakina Matumla walipigana kipindi hata google hakuna achana na whatsapp, facebooka au instagram.
Kila la kheri katika maisha yako ya michezo.
Hao kina Dulla Mbabe ndo hamna kitu kabisa, wanapigana kama ameatur, rejea pambano lake na Cheka. Mwakinyo kidogo anaonesha utofauti, japo ana tatizo la defence, akirekebisha hilo atafika mbali maana kurusha ngumi kali anaweza
Sent using Jamii Forums mobile app
Aj unamjua ama unamsikia yule jamaa yuko smart na SI size ya mwakinyomwakinyo ana uwezo wa kumpiga antony joshua
Hivi bongo kuna heavyweight boxers? Maana nnaowajua toka nyuma kina Matumla ni middleweightAj unamjua ama unamsikia yule jamaa yuko smart na SI size ya mwakinyo
Sent using Jamii Forums mobile app