DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,627
Japo ana mapungufu ya kutokuwa na msimamo na usisimizi,kwa suala la umamluki wa Mbatia James NAMUUNGA MKONO.Mbatia kama wewe si mamluki na ni mwana demokrasia usikubali uteuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbatia ni policcm yule. Ambao hamkumwelewa Kafulila,leo ndo eleweni
Japo ana mapungufu ya kutokuwa na msimamo na usisimizi,kwa suala la umamluki wa Mbatia James NAMUUNGA MKONO.Mbatia kama wewe si mamluki na ni mwana demokrasia usikubali uteuzi.
NCCR-Mageuzi full dead!!! Ukiona baba ndani ya nyumba amehamia kwa jirani hapo hakuna familia tena.Mwenyekiti wa chama kupewa zawadi ya ubunge nini hatima ya chama?
Kafulila juuuu..!Kafulila Hoyee
Wabongo nyie ni nouma, yaani wenyewe kwa wenyewe hamjikubari kwanini msiungane kumsaport mbatia ili mumpe kazi akafanye kuliko kuanza kulalama kama kawaida yenu.
Japo ana mapungufu ya kutokuwa na msimamo na usisimizi,kwa suala la umamluki wa Mbatia James NAMUUNGA MKONO.Mbatia kama wewe si mamluki na ni mwana demokrasia usikubali uteuzi.