Nimemuelewa sana Rais Magufuli kwenye kuongeza uzalishaji wa Umeme

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Ni kweli tukitaka kwenda kwenye uchumi wa viwanda umeme ni muhimu.
1. Stiegler's gorge uliozoeleka kusikika wa MW 2,100 huu unategemea kukamilika mwaka 2021.
2. Kikonge. Huu wanataka kuujenga mto ruhuhu na unakadiriwa kukamilika 2025. utazalisha MW 300.

3. Songwe. Huu tutashare na Malawi. utakuwa wa MW 180 unategemea kukamilika mwaka 2022.
kwahiyo by 2025 tutegemee kuwa na karibu MW 2500 moya za umeme. Ni hatua kubwa.
Nashauri tusisahau umeme wa makaa ya mawe na ikiwezekana miradi midogomidogo ya umeme wa maji waruhusu sekta binafsi ziwekeze au waingie PPP. Bila shaka baada ya 2025 tutaanza kupikia umeme.
 
Ni hatua nzuri ila pia tusiachwe hewani bila maelezo yoyote kuhusu gesi maana tulihakikishiwa kwamba ingekuwa mwarobaini wa nishati nchini na ziada (kubwa) kuuzwa nje ya mipaka yetu. Mbona hili linapotezewa? Hebu wananchi tupate ufafanuzi ili twende pamoja.
 
Ni kweli tukitaka kwenda kwenye uchumi wa viwanda umeme ni muhimu.
1. Stiegler's gorge uliozoeleka kusikika wa MW 2,100 huu unategemea kukamilika mwaka 2021.
2. Kikonge. Huu wanataka kuujenga mto ruhuhu na unakadiriwa kukamilika 2025. utazalisha MW 300.

3. Songwe. Huu tutashare na Malawi. utakuwa wa MW 180 unategemea kukamilika mwaka 2022.
kwahiyo by 2025 tutegemee kuwa na karibu MW 2500 moya za umeme. Ni hatua kubwa.
Nashauri tusisahau umeme wa makaa ya mawe na ikiwezekana miradi midogomidogo ya umeme wa maji waruhusu sekta binafsi ziwekeze au waingie PPP. Bila shaka baada ya 2025 tutaanza kupikia umeme.
Red Giant umeme wa gesi tumeutelekezea wapi? Kwanini tusijikite zaidi kwenye gesi?
 
Ni kweli tukitaka kwenda kwenye uchumi wa viwanda umeme ni muhimu.
1. Stiegler's gorge uliozoeleka kusikika wa MW 2,100 huu unategemea kukamilika mwaka 2021.
2. Kikonge. Huu wanataka kuujenga mto ruhuhu na unakadiriwa kukamilika 2025. utazalisha MW 300.

3. Songwe. Huu tutashare na Malawi. utakuwa wa MW 180 unategemea kukamilika mwaka 2022.
kwahiyo by 2025 tutegemee kuwa na karibu MW 2500 moya za umeme. Ni hatua kubwa.
Nashauri tusisahau umeme wa makaa ya mawe na ikiwezekana miradi midogomidogo ya umeme wa maji waruhusu sekta binafsi ziwekeze au waingie PPP. Bila shaka baada ya 2025 tutaanza kupikia umeme.
Hivi wewe una allergy ya kuota mchana?! Hakuna hata kimoja ulichoorodhesha hapo juu kitakamilika kama ulivyoota!!!
 
Red Giant umeme wa gesi tumeutelekezea wapi? Kwanini tusijikite zaidi kwenye gesi?
Inawezekana ni kweli wasemayo watu, kuwa gesi siyo yetu. Ile mikataba ya kupitishwa kwa dharura itakuwa imeanza kututafuna. Kuna mwaka nchi nadhani ya Bolivia waliingia mkataba ma kampuni ya Ufaransa ili kusupply maji safi na salama. mkataba uliwazuia wananchi kuvuna maji ya mvua!! labda ndicho kilichotokea kwenye gesi.
 
Back
Top Bottom