johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,565
- 141,378
Na wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.
Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.
Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.
Maendeleo hayana vyama!
Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.
Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.
Maendeleo hayana vyama!