A woman's best insurance is some money of her own.
Hapo mnakuwa hamsumbuani over small things.
I hope hautajali akitumia hela yake kusuka.
She's a woman, she doesnt have to look unkempt just because the husband is broke.
Wewe hauwajui watu wenye vinywele visivyoeleweka wanavyoangahika navyoWatu tunatofautiana sana, mie manywele yangu wala siyaelewi mwaka mzima naweza kupitisha bila kusuka...naosha, paka mafuta nabana chicha safari...
UnajitambuaKwann mnaoa wanawake wasio waheshimu mnapotoa magizo yenu mm mke wangu nikimwambia kitu aina kupinga mm ndo baba sinuniwi nikiamua nimeamua...
Elfu 50Kwa sasa anasuka za bei gani?
kila sikuAmna raha kama mwanamke kubana nywele kifagio
Bado shampoo nzuri ya kuziosha kila siku..25,000 -30,000 watu hawajui tu kunyoa ni gharama kuliko kusuka hapo bado hujaenda kwa kina didy expert kunyoa 60,000- 100,000 hapo hujanunua mafuta ya nywele na spray
Ata abane miaka 40 kwangu atakuwa best tukila siku
Gharama hizo zimeanza lini jamani? MbonaBado shampoo nzuri ya kuziosha kila siku..
Siku nyingine ukitaka mbwembwe bado rangi, au syle mbali mbali kama kwa pasco makeover ..Ni gharama kweli kuwa na short hair
Kosti gani mkuu acha uwongo ,unataka ukiwa anakuoshea vyombo au kupiga deki uwe unazishika kwa ukamilifu fupifupi Mana hizo hafungi lile lemba ,zabuku hizo nimekuelewaKwema ndugu zangu watanganyika? Kutokana na mimi kupitia changamoto za kifedha kwa sasa, nilimuomba Wife tupunguze gharama za uendeshaji wa maisha yetu kwa kujibana sana, pendekezo langu la kwanza nilipendekeza Wife anyoe nywele zake alizosuka, akajitetea kwamba nywele zake katumia karibia miaka 10 kuzifikisha hapo zilipofikia hivyo hatoweza kuzinyoa na akaongezea kuwa akinyoa yeye huwa ana kichwa kibaya hivyo hatokua comfortable.
Basi mimi nikajaribu kupitia kwenye baadhi ya pages za wadada wenye saloon huko Instagram nikaja na pendekezo moja kuwa Wife awe anasuka style fulani hivi ya nywele ambayo ni affordable kwani ni elfu 5 tu ila mwenzangu nilipomshirikisha hivyo akaishia kunisunya na kunibinulia midomo kuwa hayuko tayari.
Mpaka sasa kaninunia ila mimi msimamo wangu uko pale pale sitotoa zaidi ya elfu 5 ya kusukia.
Asanteni
View attachment 2044854
acha zako mshipa huogopi zabuku hizo ndo zenyewenipe namba zake nimshauri jambo,utanishukuru baadae
Bado shampoo nzuri ya kuziosha kila siku..
Siku nyingine ukitaka mbwembwe bado rangi, au syle mbali mbali kama kwa pasco makeover ..Ni gharama kweli kuwa na short hair
Gharama hizo zimeanza lini jamani? Mbona
Kifungilo Seminary mlinyoa kwa topaz za 200 term nzima gharama haikuzidi buku!
Sasa seminary unyoe na topaz, jeshini unyoe na topaz na ndani ya ndoa abeg oh