Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Leo nimeanza kibarua kwenye hii kampuni, ofisi nitakayokuwa naitumia nimekuta kuna picha tatu ukutani, ya Mwalimu, Ben na ya Mr. Pilot. Nimemuambia huyu Secretary nikitoka lunch nikute amekwishaondoa picha ya Ben, zibaki hizo mbili, Kwa heshima ya ofisi yake kwa Taifa letu hii ya Mr.Pilot nitaendelea kutafuta busara namna ya kudeal nayo.