BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
wakati unafanya yoooooooote haya ulikuwa na matarajio gani?
Umeshawai kutembea nje,? Kama ndio usimwache...
Kwa nini kumuita mtu malaya? Kuna uhakika kukubali mwaliko wa kumtembelea mtu hotelini ni kwenda kuzini? Watu wanatafuta marafiki (network) kwa sababu tofauti na uzinifu. Afterall mtoa mada kasema amemkubali hajafafanua amemkubalia ofa ya kwenda kula PEARL and kuganda chumbani.du hii kali yahani ni malaya ndo maana yake
Wewe hugongi nje?
nina mchumba angu na ana mtoto wangu mmoja wa kike aliifungua miaka mitatu iliyopita a nimemtolea posa na kumvisha pete kabisa sasa me nilisafiri mwanza kikaz ba yy kabak dar, juz niliamua kumjaribu kumtongoza kwa id na namba ambazo hazijui na amenikubalia, nikamwambia mi nipo moro ila nikifika dar tutafutane ntakuwa pale blue pearl, kwel weekend imefika kanitafuta nikamwambia nimefika aje pale blue pearl aulize reception watamleta chumban kwng, kwel kaja na akanipigia simu ndo nikamkamata kwa kujtambulisha kama me ni mumewe, et akazima sim na kukimbia kwao, me sijamuambia kitu zaidi ya yeye kuniambia eti simuamin mpaka natumia namba nyingine kumtega kama vipi tuachane nimlee tu mtoto...nikamwambia sawa vyovyote aamuavyo, naomba ushaur wana jf, nichukue maamuzi gan?
Kuku wako mwenyewe, nani alikuambia umnyemelee na manati?
Tafuta alien.
thanx sana kwa ushauri, me nipo mbali, na yeye niliamua kumuendeleza kielimu udsm mwaka wa pili na mimi ndo board ya mkopo kwake, siwez muondoa shule aje huku kwan hata mtoto wetu anasoma daycare so, nimeambiwa mengi juu yake ikabidi nifanye utafiti kujidhihirishia, nimeumia sana, mbaya zaidi baada ya kunikubalia akanipiga mzinga wa elfu hamsin nikampa, akajua kapaa buzi kumbe mumewe...sijajua nimuhukumu vipi
nina mchumba angu na ana mtoto wangu mmoja wa kike aliifungua miaka mitatu iliyopita a nimemtolea posa na kumvisha pete kabisa sasa me nilisafiri mwanza kikaz ba yy kabak dar, juz niliamua kumjaribu kumtongoza kwa id na namba ambazo hazijui na amenikubalia, nikamwambia mi nipo moro ila nikifika dar tutafutane ntakuwa pale blue pearl, kwel weekend imefika kanitafuta nikamwambia nimefika aje pale blue pearl aulize reception watamleta chumban kwng, kwel kaja na akanipigia simu ndo nikamkamata kwa kujtambulisha kama me ni mumewe, et akazima sim na kukimbia kwao, me sijamuambia kitu zaidi ya yeye kuniambia eti simuamin mpaka natumia namba nyingine kumtega kama vipi tuachane nimlee tu mtoto...nikamwambia sawa vyovyote aamuavyo, naomba ushaur wana jf, nichukue maamuzi gan?
nina mchumba angu na ana mtoto wangu mmoja wa kike aliifungua miaka mitatu iliyopita a nimemtolea posa na kumvisha pete kabisa sasa me nilisafiri mwanza kikaz ba yy kabak dar, juz niliamua kumjaribu kumtongoza kwa id na namba ambazo hazijui na amenikubalia, nikamwambia mi nipo moro ila nikifika dar tutafutane ntakuwa pale blue pearl, kwel weekend imefika kanitafuta nikamwambia nimefika aje pale blue pearl aulize reception watamleta chumban kwng, kwel kaja na akanipigia simu ndo nikamkamata kwa kujtambulisha kama me ni mumewe, et akazima sim na kukimbia kwao, me sijamuambia kitu zaidi ya yeye kuniambia eti simuamin mpaka natumia namba nyingine kumtega kama vipi tuachane nimlee tu mtoto...nikamwambia sawa vyovyote aamuavyo, naomba ushaur wana jf, nichukue maamuzi gan?