Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,357
- 40,244
Amekurahisishia uwe unachapa kihalali
HatareeKimbia mbio nyingi sana bro, tena usigeuke nyuma hata ukipigiwa miruzi na kelele (Ukiskia hio miruzi na kelele we fikiria jamaa wanakushangilia uzidi kukimbia spidi zaid).
Wa hivi ndio wale ukiwaoa, unaoa pamoja na SHIDA ZOTE ZA UKOO MZIMA, SHIDA ZA MJOMBA, SHIDA ZA BIBI KIJIJINI , SHIDA ZA SHEMEJI ZAKO, SHIDA ZA "Si yule ndugu yetu aliekua anakuja kukusalimia kijijini, tulivyoenda kutembea kwa babu? Hivi umemsahau kweli diaa?"
Nina wasiwasi nisije fungishwa ndoa ya mkekaAmekurahisishia uwe unachapa kihalali
Huyu ni mkweremademu wenye tabia za namna hii wapo kanda ya ziwa hasa wasukuma
basi ni sababu nojawapo hiiChini ya 20yrs