iron finger
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 358
- 220
Kuna jimama moja apa mtaani limekuwa likarimu sana kwangu hata akisafiri nyumba yake ananiachia mimi,zawadi kibao,na mkwanja ananiachia,jana ndo kafunguka eti ananipenda ikanibidi mtoto wa kiume nimpe live kama simuhitaji loooooh!alichoka.