Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,208
- 42,068
Hahahahaha
si ndo mana nikasema kama na ye ni mwanamke basi mi bora niwe japo ufuta tu!
si ndo mana nikasema kama na ye ni mwanamke basi mi bora niwe japo ufuta tu!
naungana na wewe mkuu, bado siamin sana kama huyu dada anamaanisha anayoyapost hapa......bado naamin ni utan au cjui anataka kufanya nini bt huu anaouweka humu ndani sio ukweli
kama ni kweli, namuhurumia sana mumeo na hao wanao,......................
na pia kama ni kweli wewe sio mzima natalia, kuna ki2 kinakusumbua, au ni ulimbukeni........
binafsi huwa sielewi post za huyu dada kabsa,wakati mwingine naona kama kuna idadi flani hivi ya posts anataka aifikishe cuz kila siku anapost sredi nyingi zisizokuwa na maana ili kuquote attention ya watu na kupata wachangiaji wengi.always nonsense
I'm a mother of 2
Duh! Natalia sijui ana matatizo gani. Sijui nini kimemfika! Utoto / jani au poda? Khaaaaaaa hizi nyuzi zake zinachosha kabisa!
Nashindwa kuelewa hao waliokupa hizo like walikupaje.......yaani nini kiliwavutia manake mie toka nianze kupitia nyuzi zako sijawahi kuambulia chochote!
Bora wewe umenielewa. Kuna mjukuu mmoja anaitwa King'asti a.k.a komando amenigomea! Hivi, mtu unawezaje kupata airtime ya nguvu bila promo?nimekusoma Babu DC!!
Ana kasoro gani huyo mwanaume mpaka awe juha hivyo ? au wewe una ni zaidi ambacho wenzako hawana ?
Jamani yaani mwanaume huyu ananipenda mpaka nimemtishia kumwacha na alikuwa anasoma hivi Jamie forum .aneogopa mpaka wazazi wake wamemkopesha pesa kanunua Mercedes loop hapa na let the shopping begins .kesho nitawapostia picha ya mume wangu na gari mpya na picha ya Mimi natalia.sasa hivi nampenda I'm happy.ladies mtumie mitandao kuwatishia nilianza na facebook na hapa.nawashukuru kwa comment zenu