johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Rais Samia Suluhu Hassan amesema amemteua Dr Mpango kama makamu wa Rais kwa sababu ni mtaalamu wa uchumi na kwamba atamsaidia katika maswala ya uchumi na fedha.
Rais Samia amesema inaeleweka kuwa ofisi ya makamu wa Rais inashughulika na mambo ya Muungano, Umaskini na Mazingira lakini Dr Mpango atamsaidia katika mambo ya Uchumi na fedha pia.
Yawezekana Dr Mpango akawa bado ni boss wa Hazina " kivingine"
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Rais Samia amesema inaeleweka kuwa ofisi ya makamu wa Rais inashughulika na mambo ya Muungano, Umaskini na Mazingira lakini Dr Mpango atamsaidia katika mambo ya Uchumi na fedha pia.
Yawezekana Dr Mpango akawa bado ni boss wa Hazina " kivingine"
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!