KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Sina ufahamu mzuri na huo unafiki wa Butiku, na ndio kwanza nausikia toka kwako.Kuwaweka Warioba na Butiku kundi moja sio sahihi hata mara moja Ingawa wanatoka sehemu moja!! Warioba is principled na sio mnafiki unlike Butiku ambae anaangalia maslahi yake yanapatikana wapi!! Enzi ya Jiwe kwavile taasisi yao ilikuwa inafadhiliwa kwa kiasi na Jiwe hakuwa na ubavu wa kujitokeza na kukosoa na sasa ili ajulikane kuwa yupo ndio anaanza kupiga mayowe.
Jaji Warioba has always been consistent.
Kutosikika tu wakati wa Magufuli haiwezi kuwa ndicho kikawa kigezo cha kuwa mnafiki. Kunaweza kuwa na sababu nyingine za kumfanya asiseme kitu wakati huo. Sikumsikia hata siku moja akisifu lolote linalofanywa na Magufuli ili kuonyesha unafiki wake na unufaika wake.
Kama unao mfano halisi, naomba uuweke hapa kama ushahidi.