Nimemsaliti mpenzi wangu nifanyeje asahau?

nyangoma

Member
Jan 11, 2010
71
23
Nina mpenzi ambaye tunafanya kampuni moja japo ofc tofauti na tuna miezi kama sita hivi toka tuanza ila katika mahusiano hayo tumegombana sana kuliko kufurahia sana mahusiano yetu na nimekuwa simuamini sna katika mahusiano yetu baada ya magovi mengi niliamua kutembea na rafiki yake japo si wakaribu sana ila ni washikaji huku nikijua huyo jamaa anaoa karibuni ila sikujali nikdhamiria tu kumkomesha yule jamaa sasa kajua na nimea dmit kila kitu kwake kama nimetembea na huyo jamaa na kila kitu,sasa jamaa ni ananipenda kuliko maelezo yani ni anabaki kuumia sana sana sana moyoni imefika hatua hadi analia machozi y nimemsaliti kwa mshkaji wake?kwakweli naona aibu na namuonea huruma sana anataka hadi kuacha kazi kisa hawez vumilia hayo maumivu na anaona aibu kwa wanaume wenzie sababu wanajua sasa nifanyeje kumplease nampenda ananipenda pia tena mno ndo mana anaumia na je hata akinisamehe baadae anaweza nilipa?ila najuta na kuona aibu.
 
Nina mpenzi ambaye tunafanya kampuni moja japo ofc tofauti na tuna miezi kama sita hivi toka tuanza ila katika mahusiano hayo tumegombana sana kuliko kufurahia sana mahusiano yetu na nimekuwa simuamini sna katika mahusiano yetu baada ya magovi mengi niliamua kutembea na rafiki yake japo si wakaribu sana ila ni washikaji huku nikijua huyo jamaa anaoa karibuni ila sikujali nikdhamiria tu kumkomesha yule jamaa sasa kajua na nimea dmit kila kitu kwake kama nimetembea na huyo jamaa na kila kitu,sasa jamaa ni ananipenda kuliko maelezo yani ni anabaki kuumia sana sana sana moyoni imefika hatua hadi analia machozi y nimemsaliti kwa mshkaji wake?kwakweli naona aibu na namuonea huruma sana anataka hadi kuacha kazi kisa hawez vumilia hayo maumivu na anaona aibu kwa wanaume wenzie sababu wanajua sasa nifanyeje kumplease nampenda ananipenda pia tena mno ndo mana anaumia na je hata akinisamehe baadae anaweza nilipa?ila najuta na kuona aibu.

we nyangoma wewe, mwone kwanza!ngoja nirudi baadae kidogo!!!!!!!!!!!!!!!!
 
haya mapenzi ya kukomoa haya hatari sana...Nyangoma my dia ni aibu sana kwa mwanamke kufanya mseto kama huo...ictoshe huyo kaka mwingine umesema anakaribia kuoa, sasa uliamua tu kumvulia chupi kujifurahisha? wanawake kama nyie bwana mnatutia aibu wanawake wengine.
 
haya mapenzi ya kukomoa haya hatari sana...Nyangoma my dia ni aibu sana kwa mwanamke kufanya mseto kama huo...ictoshe huyo kaka mwingine umesema anakaribia kuoa, sasa uliamua tu kumvulia chupi kujifurahisha? wanawake kama nyie bwana mnatutia aibu wanawake wengine.
Mpe ushauri ndo kesha kosa ivyo....BTW hujambo bibie?
 
Aibu hiyo, tubu kwa Mungu na kwake....then accept the consequence of your doings, no easy way out
 
Mpe ushauri ndo kesha kosa ivyo....BTW hujambo bibie?

cjambo kabisa my love...labda nimshauri tu aachane na wote wawili, huyo mkaka alieumizwa hata wakirudiana hatakuwa na mapenzi aliyokuwa nayo mwanzo atakuwa kwa ajili ya kukata kiu tu...nyangoma umetokota..
 
there is no way to justify umala**a you did it and thats the end of story....namshangaa hata huyo jamaa anaelia lia. wanawake wengine bana.... yaani we umeenda huko umeipeleka nanii yako halafu unarudi hapa tukushauri jinsi ya kupaka mafuta mazambi yako....i hate women of such a low caliber. take it from me acha kumzingua jamaa we chapa mwendo!
 
haya mapenzi ya kukomoa haya hatari sana...Nyangoma my dia ni aibu sana kwa mwanamke kufanya mseto kama huo...ictoshe huyo kaka mwingine umesema anakaribia kuoa, sasa uliamua tu kumvulia chupi kujifurahisha? wanawake kama nyie bwana mnatutia aibu wanawake wengine.

Unajua Nyamayao, wanawake wengi siku hizi huu uchi wao wanaufanya kama asset fulani hivi!na ndio maana kunakuwa na malipizi na kukomoana kwa style hiyo!!!!!!!!!!!!!
 
Nina mpenzi ambaye tunafanya kampuni moja japo ofc tofauti na tuna miezi kama sita hivi toka tuanza ila katika mahusiano hayo tumegombana sana kuliko kufurahia sana mahusiano yetu na nimekuwa simuamini sna katika mahusiano yetu baada ya magovi mengi niliamua kutembea na rafiki yake japo si wakaribu sana ila ni washikaji huku nikijua huyo jamaa anaoa karibuni ila sikujali nikdhamiria tu kumkomesha yule jamaa sasa kajua na nimea dmit kila kitu kwake kama nimetembea na huyo jamaa na kila kitu,sasa jamaa ni ananipenda kuliko maelezo yani ni anabaki kuumia sana sana sana moyoni imefika hatua hadi analia machozi y nimemsaliti kwa mshkaji wake?kwakweli naona aibu na namuonea huruma sana anataka hadi kuacha kazi kisa hawez vumilia hayo maumivu na anaona aibu kwa wanaume wenzie sababu wanajua sasa nifanyeje kumplease nampenda ananipenda pia tena mno ndo mana anaumia na je hata akinisamehe baadae anaweza nilipa?ila najuta na kuona aibu.


wewe ni muuaji, ndani ya miezi sita umemsaliti mtu kwa kuzini na mume mtarajiwa wa mwanamke mwenzako. Je bi harusi mtarajiwa akifahamu?
 
Unajua Nyamayao, wanawake wengi siku hizi huu uchi wao wanaufanya kama asset fulani hivi!na ndio maana kunakuwa na malipizi na kukomoana kwa style hiyo!!!!!!!!!!!!!

hapo wanakosea sana, mwanaume hata akikupenda kivipi lakini yakitokea mambo kama haya roho yake inakinaiwa kabisa, wachache sana watarudisha mapenzi kama kawaida, hapa nilipo bado najiuliza nyangoma alifikiria nn mpaka kufanya alichofanya, kwanza kamsaliti mpenzi wake mahali pacpo(mtu anaekaribia kuoa/wapo ofc moja)...hivi mwanamke unajua mwanaume huyu ana wake na anakaribia kuoa uckute na mchango nyangoma katoa na kampa zawadi ya kumvulia chupi free....khaaa wanawake wengine hapana kabisa.
 
kesha kuacha huyo
hata kama utaolewa nae ipo siku atakuambia kuwa wewe malaya ndiyo maana ulifanya ngono na rafiki yangu then atakufa talaka saba pamoja na wadogo zako.
 
hapo wanakosea sana, mwanaume hata akikupenda kivipi lakini yakitokea mambo kama haya roho yake inakinaiwa kabisa, wachache sana watarudisha mapenzi kama kawaida, hapa nilipo bado najiuliza nyangoma alifikiria nn mpaka kufanya alichofanya, kwanza kamsaliti mpenzi wake mahali pacpo(mtu anaekaribia kuoa/wapo ofc moja)...hivi mwanamke unajua mwanaume huyu ana wake na anakaribia kuoa uckute na mchango nyangoma katoa na kampa zawadi ya kumvulia chupi free....khaaa wanawake wengine hapana kabisa.

lakini kumbuka sio wanawake wote ambao wanajua thamani ya miili yao!kuna wengine kumvulia chupi mwanaume kwa tendo tu la haraka, mara moja mbili kwake sio issue hata kidogo!yeye anaona hana cha kupoteza hapo, aibu kwako!!!!!!!!!!!!!!
 
Sijaelewa hapa....jamaa anaacha kazi au anakuacha wewe....:confused2::A S confused:
 
lakini kumbuka sio wanawake wote ambao wanajua thamani ya miili yao!kuna wengine kumvulia chupi mwanaume kwa tendo tu la haraka, mara moja mbili kwake sio issue hata kidogo!yeye anaona hana cha kupoteza hapo, aibu kwako!!!!!!!!!!!!!!

hao wapo....hata nyangoma yupo kwenye group hiyo!
 
Sijaelewa hapa....jamaa anaacha kazi au anakuacha wewe....:confused2::A S confused:

anaacha kazi coz nyangoma kamtenda....kuna watu wanajua kupenda ati sio kama wewe!...cjaelewa kwann nyangoma bado anamuita huyu kaka "mpenzi".....
 
Labda nimuulize nyangoma swali moja alipomkomoa kwa kutembea na rafiki yake amepata nini? Saa zingine akili zinakuwa za namna gani hapo sidhani kama kuna kitu cha kufanya ili yeye asahau sababu wakati unafanya ulidhamiria tena umesema mwenyewe ulikuwa unataka "kumkomesha" halafu sasa hivi unahitaji ushauri ufanyaje ili asahau maumivu WTF!!!!!!! Vitu vingine vinaudhi sanaaa
 
Labda nimuulize nyangoma swali moja alipomkomoa kwa kutembea na rafiki yake amepata nini? Saa zingine akili zinakuwa za namna gani hapo sidhani kama kuna kitu cha kufanya ili yeye asahau sababu wakati unafanya ulidhamiria tena umesema mwenyewe ulikuwa unataka "kumkomoa" halafu sasa hivi unahitaji ushauri ufanyaje ili asahau maumivu WTF!!!!!!! Vitu vingine vinaudhi sanaaa

she is simply a wh**e!
 
Nina mpenzi ambaye tunafanya kampuni moja japo ofc tofauti na tuna miezi kama sita hivi toka tuanza ila katika mahusiano hayo tumegombana sana kuliko kufurahia sana mahusiano yetu na nimekuwa simuamini sna katika mahusiano yetu baada ya magovi mengi niliamua kutembea na rafiki yake japo si wakaribu sana ila ni washikaji huku nikijua huyo jamaa anaoa karibuni ila sikujali nikdhamiria tu kumkomesha yule jamaa sasa kajua na nimea dmit kila kitu kwake kama nimetembea na huyo jamaa na kila kitu,sasa jamaa ni ananipenda kuliko maelezo yani ni anabaki kuumia sana sana sana moyoni imefika hatua hadi analia machozi y nimemsaliti kwa mshkaji wake?kwakweli naona aibu na namuonea huruma sana anataka hadi kuacha kazi kisa hawez vumilia hayo maumivu na anaona aibu kwa wanaume wenzie sababu wanajua sasa nifanyeje kumplease nampenda ananipenda pia tena mno ndo mana anaumia na je hata akinisamehe baadae anaweza nilipa?ila najuta na kuona aibu.

Duh!!!!! Kuna mwanamke wa kuita mpenzi wako hapo????? Kwenye nyeusi hapo acha kutudanganya
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom