Anaitwa nani na alilazwa wodi gani? Hujui hata jina la anti yako, huna maana unaleta umbea hapa. kamilisha taarifa ili uaminike
Hapa Jf kuna watu wako muhimbili watatusadia kutafuta ukweli lakini pia nina jamaa Muhimbili yuko kitengo cha kutunza majina ya waliokufa naweza kufuatilia
Na mimi nimefiwa Bugando. Unaona taarifa hii imekamilika na kushawishi ukweli wake? JF tupunguze udaku tutaharibu heshima ya JF. Tuwe wadadisi kabla ya kutoa maoni.