King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
hivi unajua umenishtusha sana??
Hili neno 'tong' linafanana na 'tonja'
na tonja ni gagulo, nimedhani umeliona langu ambalo mateka analinunulia.
Ujue ananizidi miaka 13? Nimwache??
usimuache. Kwani ile small house yako Muuza mkaa si bado uko nae? Kuna shower gel ya apple and youghurts, ukimloweka 10 mins anakuwa kama mzungu.