mbona mi wangu nimemzidi miaka 10
kwa elimu ya masters unauliza swali kam hilo basi elimu yako ni makorokocho
Kaka shkamoo...
Hapo kwa age diference ya 17yrs naona tatizo lipo....huyo mboni ni kama mwanao wa kike?..au hilo hata wewe hulioni?...tafuta mwenzio bana atleast age difference isifike double digits...yani iwe kwenye 9 kwenda chini .
Duuh mie mpaka naogopa...hivi huoni hata aibu kuvua nguo kisha unakatiza chumbani bo@#$ro linaninginia na ke@#$nde zako kisha kabinti kanakuangalia??
Hako ukikaoa then miaka mitano ijayo unaanza kuzinguliwa na sugar kenyewe ndio dam full kuchemka..utagongewaje na vijana wa bonge-fleva...aibuu. Mtafute mkubwa mwenzio kama huweza sema tukusaidie kutafuta waliojichokea na midume wanataka kutulia waolewe walee familia.
Ulisema una deg 2??..yani masters?...hukuchukulia hata russia ingekusaidia ungerudi na bibi wako wa kizungu uwe umetupiga bao sie tulio-owa waswahili...
Wabongo hata midlife crisis hawajui ni kitu gani
mwaya oa tu
wangapi wameolewa na watu wanawazidi umri na familia zinaenda tena kwa raha zao.
Si kila mwanamke kapitia disko, au anatamani kujirusha. Wengine wamezaliwa wakiwa wabibi tu.
kwa elimu ya masters unauliza swali kam hilo basi elimu yako ni makorokocho
Dah... Jamani hakuna kitu kibaya kwenye mahusiano kama udanganyifu... Sasa huo uongo wako unaweza kukugharimu ndugu yangu... Yaani muda wote alikua anajua anampenzi aliyemzidi miaka 7 leo hii aambiwe ni miaka 17.. Ingekuwa mie nakutosa kwa kweli..! Inaelekea sio umri tuu ambao umemdanganya, wewe yaelekea sio Mkweli kwa mambo mengi..!
kwa elimu ya masters unauliza swali kam hilo basi elimu yako ni makorokocho
ila baada ya muda ubibi unaisha! Lol
Lol! Unatafuta balaa wewe! Mwenzio kwenye diskasheni wanamsimulia stori za sun ciro wewe unaongelea sijui matofali na mashamba! Jamani wadada wa 30 wakaolewe na nani mnaoa watoto?!
Hakikisha una-maintain membership humu, utahitaji stress relieve za kutosha. 19 yrs!!! She could be ur daughter for pity's sake!!