Siku ukitaka kuchepuka usinisahauHabar
nimerud kwenu tena kuwapa mrejesho kwan nimeshampata nimpendae nae amenipenda,
Nawashukuru wana jf wote kwa kunipa changamoto kwan kutafuta mpenz c mchezo wa kitoto ,asanten sana ,asante jf kwakunipatia nimpendae.
Narejesha
Ukikosa ladha fulani amazing kutoka kwa mpenzi wangu uje kwangu nikusaidieNisikusahau nn
HONGERA sana kwako kwa kumpata umpendae na akupendae maana ni NADRA sana kwa jamii ya leo kuwapata 2 wapendanao kwa DHATI ........Habar
nimerud kwenu tena kuwapa mrejesho kwan nimeshampata nimpendae nae amenipenda,
Nawashukuru wana jf wote kwa kunipa changamoto kwan kutafuta mpenz c mchezo wa kitoto ,asanten sana ,asante jf kwakunipatia nimpendae.
Narejesha
Hongera zako.Habari,
Nimerudi kwenu tena kuwapa mrejesho kwani nimeshampata nimpendae nae amenipenda, nawashukuru wana JF wote kwa kunipa changamoto kwani kutafuta mpenzi sio mchezo wa kitoto, asanteni sana.
Asante JF kwakunipatia nimpendae.
Narejesha
Una vituko si haba:-Habari,
Nimerudi kwenu tena kuwapa mrejesho kwani nimeshampata nimpendae nae amenipenda, nawashukuru wana JF wote kwa kunipa changamoto kwani kutafuta mpenzi sio mchezo wa kitoto, asanteni sana.
Asante JF kwakunipatia nimpendae.
Narejesha
ndio uwon kama nimefata process zoteUna vituko si haba:-
i. Una miaka 23 na una mtoto mmoja (at this age)
ii. Tarehe 10.08.2016 ulitaka kujua kama una mimba (hivyo ulikuwa unasex bila ndom)
iii. Tarehe 23.08.2016 Unalalamika kuwa upo kwenye ndoa na mme wako hakujali anajinunulia nguo yeye
iv. Tarehe 09.09.2016 Unatafuta mpenzi
v. Leo unathibitisha umempata mpenzi anayekupenda
Nawasilisha