kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,023
- 3,458
wakuu polen kwa msiba
huyu binti nimefahamiana nae kama mwiez miwil nyuma na sasa tumekuw wapenzi
ana kazi (ni muajiriwa) mi mfanyabiashara kwa hyo huwa tunakutana mara nying weekend au nyakat za usiku baada ya mishemishe.
kwa kipind chote icho nmekuw nae sijawah kuona dalil yoyote ya usaliti wala ubaya,simu yake nashinda nayo hata yakwangu kuna muda anakuw nayo,kiufupi tunaaminiana .
jana nlimtext kuw kuna zawad nmemnunulia aje gheto kuchukua ,alifurah sana kupita maelezo akanmbia hajawah kupenda mwanaume kama anavyonipenda mm,akaongezea kwa kusema najua kujal hata ndugu zake wanafaham nna tabia nzur
alitinga night alipofika gheto alipika ,alifanya usaf kiufup alifanya kazi zote ambazo mwanamke anapaswa kufanya ,nilipenda
baada ya msos alitaka kuaga akidai angerud weekend nikamjibu haina neno nikazama kweny kabat langu la nguo nikamtolea zawad yake nikampa ,alifurah akanikumbatia akanambia ataifungua home kwa sabb ana haraka sikubisha aliondoka
PICHA LINAANZA
Baada ya nusu saa alintext "mambo,zawad yako nmeiona thanks",baada ya hapo nlimpigia cm hakupokea ,tuma sms hajibu,nikapiga mara ya mwisho hakupokea
leo asubuh nmemtext "habar ya asubuhi "akajibu "poa" nikamuuliza call na sms zangu nlizokutumia jana hukuziona??? kajibu "niliziona"
nikamuuliza mbona hukujibu au hujapenda zawad na kama hujapenda mbna hujanambia.hajajbu mpka sasa
nimejipa sku mbil tu nimpige chini.
(kuhusu zawad nilimnunulia chupi 3 nyeupe mbil na nyeus moja jumla 15k pamoja na saa ya 10k)
WAKULUNGWA HAPO NIMEFELI WAPI
huyu binti nimefahamiana nae kama mwiez miwil nyuma na sasa tumekuw wapenzi
ana kazi (ni muajiriwa) mi mfanyabiashara kwa hyo huwa tunakutana mara nying weekend au nyakat za usiku baada ya mishemishe.
kwa kipind chote icho nmekuw nae sijawah kuona dalil yoyote ya usaliti wala ubaya,simu yake nashinda nayo hata yakwangu kuna muda anakuw nayo,kiufupi tunaaminiana .
jana nlimtext kuw kuna zawad nmemnunulia aje gheto kuchukua ,alifurah sana kupita maelezo akanmbia hajawah kupenda mwanaume kama anavyonipenda mm,akaongezea kwa kusema najua kujal hata ndugu zake wanafaham nna tabia nzur
alitinga night alipofika gheto alipika ,alifanya usaf kiufup alifanya kazi zote ambazo mwanamke anapaswa kufanya ,nilipenda
baada ya msos alitaka kuaga akidai angerud weekend nikamjibu haina neno nikazama kweny kabat langu la nguo nikamtolea zawad yake nikampa ,alifurah akanikumbatia akanambia ataifungua home kwa sabb ana haraka sikubisha aliondoka
PICHA LINAANZA
Baada ya nusu saa alintext "mambo,zawad yako nmeiona thanks",baada ya hapo nlimpigia cm hakupokea ,tuma sms hajibu,nikapiga mara ya mwisho hakupokea
leo asubuh nmemtext "habar ya asubuhi "akajibu "poa" nikamuuliza call na sms zangu nlizokutumia jana hukuziona??? kajibu "niliziona"
nikamuuliza mbona hukujibu au hujapenda zawad na kama hujapenda mbna hujanambia.hajajbu mpka sasa
nimejipa sku mbil tu nimpige chini.
(kuhusu zawad nilimnunulia chupi 3 nyeupe mbil na nyeus moja jumla 15k pamoja na saa ya 10k)
WAKULUNGWA HAPO NIMEFELI WAPI