Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
basi mpe sumu huyo dada maana hueleweki....
wanaume wa siku hizi ndo maana k yangu ipo closed kwa muda....upepo sio mzuri kabisaaaaaaaaaa
Vibaya hivyo....
basi mpe sumu huyo dada maana hueleweki....
wanaume wa siku hizi ndo maana k yangu ipo closed kwa muda....upepo sio mzuri kabisaaaaaaaaaa
habari!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 34, ni mwanafunzi wa Masters katika chuo kimoja hapa nchini. Nimehitimu chuo kikuu UCLAS (kwa sasa Ardhi Univeversity) mwaka 2008.Wakati nipo chuoni mwaka wa kwanza nilitokea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi mwenzangu,mahusiano ambayo mwanzoni sikuona kama yangefika mbali kwani hata jinsi yalivyoanza ilikuwa katika mazingira ambayo hakuna hata mmoja wetu aliyetarajia.
Tulihitimu chuo mwaka 2008 bahati nzuri kila mmoja wetu akapata kazi ingawa ni mikoa tofauti. Mara kadhaa nilimwambia umuhimu wa kuachana kwani nilihisi kuwa sitakuwa na furaha katika familia hama tutaoana lakini alipinga na kulia sana akidai kuwa yeye ananipenda sana. Nakumbuka wakati tuko chuoni alitaka hata kuacha chuo kwasababu yangu. Sikuwa tayari kuona hili linatokea hivyo niliendelea na mahusiano naye nikitafuta namna nitakavyoachana naye kwa amani.
Tuliendelea na mahusiano hayo ingawa sikuwa na furaha nayo na bahati mbaya niseme mwezi februari mwaka huu amenambia ana ujauzito wangu. Sifikirii kabisa suala la yeye kutoa mimba kwani kwa umri wangu nataka kuwa na mtoto. Nakumbuka katika mahusiano yetu sikuwahi kuishi naye kama mke wangu mtarajiwa hivyo mambo ninayopenda mke wangu awe nayo na tabia ninazopenda wala sikumuhimiza ayafanye.
Naomba ushauri nifanyeje nimechanganyikiwa, sitaki kuwa na watoto wa mama tofauti tofauti na pia nataka sana mtoto wake azaliwe salama?
haukuwahi kusikia matangazo ya kutumia kifudusi(condoms)??????????
Mbona maelezo yako umeyatoa vizuri tu na umeonesha kabisa unachokitaka, hufikirii kutoa mimba, unataka mtoto azaliwe salama, hutaki kuwa na watoto wa mama tofauti( hufikirii kuja kuzaa na mwingine) sasa unaomba ushauri upi kiongozi?
Kajitambulishe kwa binti haraka iwezekanavyo. Huyo ndio kashakuwa mkeo tena, kama uliweza kuwa nae kwa miaka 5 tena mko mikoa tofauti nini shida sasa rafiki?
Peleka posa, toa mahari kuwa na binti hasa kipindi hiki yu-mimbani, anahitaji sana ukaribu wako aisee, hata kama harusi itasubiri kidogo ila usithubutu kutoa hiyo mimba wala kumtelekeza huyo mama. Amekusaidia kukupunguzia mahamu yako wakati wa chuo umjali sasa na yeye please. Tena una bahati unasema anakupenda sana, huoni fahari kuwa na mke anaekupenda sana? Angalia usije kupata gume gume likaja kukusumbua katika ndoa
kwani uongo kaunga..?I hate hiyo sentensi, maana nilishaambiwa hivyo wakati nimeenda home kujifungua mtoto wangu wa ujanani. i met vijana ambao tumekuwa nao kitaa nikiwa nasukuma mtumbo; halafu mtu ananiambie, "hivi Kaunga, matangazo ya condoms wewe hujawahi yaona?"
Ukweli mchungu
kwani uongo kaunga..?
wewe ulijiachia tu...ulitegemea nini?
I hate hiyo sentensi, maana nilishaambiwa hivyo wakati nimeenda home kujifungua mtoto wangu wa ujanani. i met vijana ambao tumekuwa nao kitaa nikiwa nasukuma mtumbo; halafu mtu ananiambie, "hivi Kaunga, matangazo ya condoms wewe hujawahi yaona?"
Ukweli mchungu
Ndio maana nilisema ukweli mchungu.
Mimi niljiachia kwa kuwa kwanza na tamu that way; lakini pia nilitaka mtoto, na sijawahi juta. He is a reason for everything right now, l mean my sonushka!
kumbe tamuuu eeeh ngoja nijilipue na mimi siku moja nifaidi utamu..Ndio maana nilisema ukweli mchungu.
Mimi niljiachia kwa kuwa kwanza na tamu that way; lakini pia nilitaka mtoto, na sijawahi juta. He is a reason for everything right now, l mean my sonushka!
Kumbe ndo maana wewe ni philosopher?
It's good though to have someone call you 'mom'