Miaka 34 ni umri mkubwa na hauwezi jua Mungu kakupangia vp make takea 2008 mpaka mwaka huu ni muda mrefu sana. kama haukuweza pata mwingine hapo katikati mpaka mimba ukampatia nakushauri Muombe mungu akupe moyo wa kumpenda na kumuoa ili mtunze mtoto wenu mtarajiwa. ni hayo tu.