Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,788
- 2,688
Huwajui hao watu.Kwahiyo huyo mwanamuke atakua ananichora ili nije nidakwe nini
Utaona ukishikwa atakavyo kukana
Huwajui hao watu.Kwahiyo huyo mwanamuke atakua ananichora ili nije nidakwe nini
Ndugu zangu waungwana, aman iwe nanyi, hakika muwazima wa afya tele
Leo hii mada si kwa masela peke yao hadi washalika wengine naomben japo kaushauli kenu kwa magumu haya niliyo nayo, maana sasa mwenzenu maji yamenifika shingon na nataka kuzama na sion msaada, sion matawi wala nyumba niko baharin nazama yaan nimechanganyikiwa
Mimi bhana kuna dada mmoja jilan kaolewa yaan ana mume sema huyo mume wake huwa anasafili mara kwa mara na safali zake akienda zinachukua mda mrefu hadi alud kama miezi miwili had mitatu, aliondoka mwez wa kumi na mbili mwanzon akaenda huko anakoendaga
alimuacha mke wake peke yake mtoto wa kiume nikawa najipigia pole pole usiku na mchana kwa raha zote na starehe zote bila buguza wa shida, sasa juzi yule mwanamuke mke wa jamaa kaniambia ana mimba yangu na ina mwez sema alikua bado hajanambia na mume wake week ijayo anatua
Yaan nimeogopa sana hapa nilipo lakin kanambia nisiogope yeye anajua namuna ya kusovu
Naomben ushauli wenu ndugu zangu nifanyeje na leo usiku nilikuwa naye na nimekula mzigo kama kawaida lakin naogopa kinoma, lakin mtoto ni chombo aisee ni kisu balaa yaan ni mkali kinoma
Ushauli wako ni upi
Kwanini mkuu wangu mbona kama unasusa vile
Na anajua namuna ya kisovu
Bora angemupa kingine sio mimba