Nimempa kipigo kizito Afisa wa benki hatakuja kunisahau

Kuna watu bwana wanachukulia kila mtu ni bwege bwege

Mimi nilikuwa nimeishaapa kutulia na kufanya mishe zangu niachane na mambo ya fujo fujo sasa kumbe bado kuna watu wanataka fujo,

Juzi nilienda benki ya NMB wilaya fulani hivi sitaitaja,

Nilienda kwa ajili ya kubadili kadi yangu kwani ilikuwa inakwisha muda wake

Mimi nimetoka zangu home nimevaa nimependeza nimechomekea shati na nimechana nywele vizuri

Nikafika benki jamaa wa benki anafanya kazi kwa uzembe uzembe mimi ananisimamisha dirishani yeye anapiga story na mwenzake?

Nikajisemea moyoni hivi huyu ananijua kweli au ananichukuliaje, nikawaza au nimfanyie kitu mbaya kama nilivyomfanya mfanyakazi wa NIDA?

Nikamwambia tafadhali naomba ufanye kazi iliyokuleta ofisini wateja wengi bado tuna kazi nyingi za kufanya

Jamaa kwa kiburi nae akaanza kunijibu jibu pale akaniambia kwa hasira eti kwanza katoe kopi kitambulisho chako ndio urudi, nikamwambia kopi ninayo, nikampa akanipa fomu nikajaza

Sasa basi nilivyorudisha ile fomu jamaa nikakuta amefyumu halafu alivyo na dharau anaongea kwa sauti,

Eti mtu mwenyewe haelewi, anatusumbua sumbua utadhani ana mamilioni kwenye akaunti,
Sasa kitu alichokuja kunifanya nipandishe mizimu ni pale alivyosema

Mtu kwenye akaunti ana elfu sitini halafu anatusumbua sumbua hapa!

Daaah niliaibika mbele za watu, nilitamani nimrukie jamaa palepale ning'oe korodani zake ila pale benki kulikuwa na polisi nikamuheshimu tu huyi polisi maana sikutaka kuanzisha tu vagi maana polisi mimi naonaga ni Raia wakakamavu tu!

Nikamwambia yule jamaa mdomo wako umekuponza nitadili na wewe personal!

Basi jana sikufanya kazi siku nzima ili nimfundishe jamaa kuwa mwenye elfu sitini kwenye akaunti anaweza kukutoa uhai

Jamaa jana nimemlia target ile saa 11 wanatoka benki nilimsindikiza nyuma nyuma alipofika mbali kidogo na benki nikamshika nikamwambia bro unanikumbuka mimi ndio yule mwenye elfu sitini kwenye akaunti nimekuja kuitoa!

Kabla hajaongea chochote nikamvuta mkono nikaunyonga,
Pale pale kwa spidi ya haraka kama umeme nikamtwisha ngumi nzito mgongoni,
Ile ngumi ikasindikizwa na head moja ya hatari nilimpa head nzito akahisi dunia inazunguka,
Kabla hajatua chini nikamzaba kofi moja matata sana

Nilimchakaza ndani ya dakika moja halafu nikamwambia
Kesho nakuja kutoa ile elfu sitini yangu tena naitolea ndani ,

Kwa jinsi alivyonihaibisha nahisi adhabu niliyompa haijamtosha niko nafikiria adhabu nyingine nzuri ya kumpa

Ngoja nitafakari nimfanyeje ili nimalize hasira zangu huyu mtu naombeni ushauri jamani nimpe adhabu gani?

Maana kitendo chake cha kutaja salio langu la benki si cha kiungwana hata kidogo yaani nina hasira sana na huyu mpuuzi nitamfanyia kitu kikubwa nchi nzima itajua!

Tangu alivyoniaibisha mbele ya watu hata kula sili chakula hakipandi kabisa, yaani ngoja ntamuonesha kazi

Stay tuned
Hata yeye asingesema, bado kuwa na elfu sitini ni aibu.. si mpaka uambiwe
 
Kuna watu bwana wanachukulia kila mtu ni bwege bwege

Mimi nilikuwa nimeishaapa kutulia na kufanya mishe zangu niachane na mambo ya fujo fujo sasa kumbe bado kuna watu wanataka fujo,

Juzi nilienda benki ya NMB wilaya fulani hivi sitaitaja,

Nilienda kwa ajili ya kubadili kadi yangu kwani ilikuwa inakwisha muda wake

Mimi nimetoka zangu home nimevaa nimependeza nimechomekea shati na nimechana nywele vizuri

Nikafika benki jamaa wa benki anafanya kazi kwa uzembe uzembe mimi ananisimamisha dirishani yeye anapiga story na mwenzake?

Nikajisemea moyoni hivi huyu ananijua kweli au ananichukuliaje, nikawaza au nimfanyie kitu mbaya kama nilivyomfanya mfanyakazi wa NIDA?

Nikamwambia tafadhali naomba ufanye kazi iliyokuleta ofisini wateja wengi bado tuna kazi nyingi za kufanya

Jamaa kwa kiburi nae akaanza kunijibu jibu pale akaniambia kwa hasira eti kwanza katoe kopi kitambulisho chako ndio urudi, nikamwambia kopi ninayo, nikampa akanipa fomu nikajaza

Sasa basi nilivyorudisha ile fomu jamaa nikakuta amefyumu halafu alivyo na dharau anaongea kwa sauti,

Eti mtu mwenyewe haelewi, anatusumbua sumbua utadhani ana mamilioni kwenye akaunti,
Sasa kitu alichokuja kunifanya nipandishe mizimu ni pale alivyosema

Mtu kwenye akaunti ana elfu sitini halafu anatusumbua sumbua hapa!

Daaah niliaibika mbele za watu, nilitamani nimrukie jamaa palepale ning'oe korodani zake ila pale benki kulikuwa na polisi nikamuheshimu tu huyi polisi maana sikutaka kuanzisha tu vagi maana polisi mimi naonaga ni Raia wakakamavu tu!

Nikamwambia yule jamaa mdomo wako umekuponza nitadili na wewe personal!

Basi jana sikufanya kazi siku nzima ili nimfundishe jamaa kuwa mwenye elfu sitini kwenye akaunti anaweza kukutoa uhai

Jamaa jana nimemlia target ile saa 11 wanatoka benki nilimsindikiza nyuma nyuma alipofika mbali kidogo na benki nikamshika nikamwambia bro unanikumbuka mimi ndio yule mwenye elfu sitini kwenye akaunti nimekuja kuitoa!

Kabla hajaongea chochote nikamvuta mkono nikaunyonga,
Pale pale kwa spidi ya haraka kama umeme nikamtwisha ngumi nzito mgongoni,
Ile ngumi ikasindikizwa na head moja ya hatari nilimpa head nzito akahisi dunia inazunguka,
Kabla hajatua chini nikamzaba kofi moja matata sana

Nilimchakaza ndani ya dakika moja halafu nikamwambia
Kesho nakuja kutoa ile elfu sitini yangu tena naitolea ndani ,

Kwa jinsi alivyonihaibisha nahisi adhabu niliyompa haijamtosha niko nafikiria adhabu nyingine nzuri ya kumpa

Ngoja nitafakari nimfanyeje ili nimalize hasira zangu huyu mtu naombeni ushauri jamani nimpe adhabu gani?

Maana kitendo chake cha kutaja salio langu la benki si cha kiungwana hata kidogo yaani nina hasira sana na huyu mpuuzi nitamfanyia kitu kikubwa nchi nzima itajua!

Tangu alivyoniaibisha mbele ya watu hata kula sili chakula hakipandi kabisa, yaani ngoja ntamuonesha kazi

Stay tuned
Ww ndo yule jamaa wa NMB uliyeshushiwa kipondo
 
Jizuie kupiga watu ambao mko tofauti kimafunzo, ndo maana hukuti tyson anapigana na raia wa kawaida mitaani pamoja na kwamba ana uwezo wa kupiga ngumi moja hadi mbavu zikavunjika, jitahidi kupotezea...
 
Pole sana,Acha ugomvi kijana tafuta hela.....Kumbuka sasaivi kiongozi mkuu wa Magereza alikuwa ni Mwanajeshi ,Wafungwa na mahabusu wanafanya kazi usiku na mchana
 
Kuna watu bwana wanachukulia kila mtu ni bwege bwege

Mimi nilikuwa nimeishaapa kutulia na kufanya mishe zangu niachane na mambo ya fujo fujo sasa kumbe bado kuna watu wanataka fujo,

Juzi nilienda benki ya NMB wilaya fulani hivi sitaitaja,

Nilienda kwa ajili ya kubadili kadi yangu kwani ilikuwa inakwisha muda wake

Mimi nimetoka zangu home nimevaa nimependeza nimechomekea shati na nimechana nywele vizuri

Nikafika benki jamaa wa benki anafanya kazi kwa uzembe uzembe mimi ananisimamisha dirishani yeye anapiga story na mwenzake?

Nikajisemea moyoni hivi huyu ananijua kweli au ananichukuliaje, nikawaza au nimfanyie kitu mbaya kama nilivyomfanya mfanyakazi wa NIDA?

Nikamwambia tafadhali naomba ufanye kazi iliyokuleta ofisini wateja wengi bado tuna kazi nyingi za kufanya

Jamaa kwa kiburi nae akaanza kunijibu jibu pale akaniambia kwa hasira eti kwanza katoe kopi kitambulisho chako ndio urudi, nikamwambia kopi ninayo, nikampa akanipa fomu nikajaza

Sasa basi nilivyorudisha ile fomu jamaa nikakuta amefyumu halafu alivyo na dharau anaongea kwa sauti,

Eti mtu mwenyewe haelewi, anatusumbua sumbua utadhani ana mamilioni kwenye akaunti,
Sasa kitu alichokuja kunifanya nipandishe mizimu ni pale alivyosema

Mtu kwenye akaunti ana elfu sitini halafu anatusumbua sumbua hapa!

Daaah niliaibika mbele za watu, nilitamani nimrukie jamaa palepale ning'oe korodani zake ila pale benki kulikuwa na polisi nikamuheshimu tu huyi polisi maana sikutaka kuanzisha tu vagi maana polisi mimi naonaga ni Raia wakakamavu tu!

Nikamwambia yule jamaa mdomo wako umekuponza nitadili na wewe personal!

Basi jana sikufanya kazi siku nzima ili nimfundishe jamaa kuwa mwenye elfu sitini kwenye akaunti anaweza kukutoa uhai

Jamaa jana nimemlia target ile saa 11 wanatoka benki nilimsindikiza nyuma nyuma alipofika mbali kidogo na benki nikamshika nikamwambia bro unanikumbuka mimi ndio yule mwenye elfu sitini kwenye akaunti nimekuja kuitoa!

Kabla hajaongea chochote nikamvuta mkono nikaunyonga,
Pale pale kwa spidi ya haraka kama umeme nikamtwisha ngumi nzito mgongoni,
Ile ngumi ikasindikizwa na head moja ya hatari nilimpa head nzito akahisi dunia inazunguka,
Kabla hajatua chini nikamzaba kofi moja matata sana

Nilimchakaza ndani ya dakika moja halafu nikamwambia
Kesho nakuja kutoa ile elfu sitini yangu tena naitolea ndani ,

Kwa jinsi alivyonihaibisha nahisi adhabu niliyompa haijamtosha niko nafikiria adhabu nyingine nzuri ya kumpa

Ngoja nitafakari nimfanyeje ili nimalize hasira zangu huyu mtu naombeni ushauri jamani nimpe adhabu gani?

Maana kitendo chake cha kutaja salio langu la benki si cha kiungwana hata kidogo yaani nina hasira sana na huyu mpuuzi nitamfanyia kitu kikubwa nchi nzima itajua!

Tangu alivyoniaibisha mbele ya watu hata kula sili chakula hakipandi kabisa, yaani ngoja ntamuonesha kazi

Stay tuned
Hivi mfanyakazi wa benki anaruhusiwa kutaja kiwango Cha hela Cha mteja publicly kwa sauti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu bwana wanachukulia kila mtu ni bwege bwege

Mimi nilikuwa nimeishaapa kutulia na kufanya mishe zangu niachane na mambo ya fujo fujo sasa kumbe bado kuna watu wanataka fujo,

Juzi nilienda benki ya NMB wilaya fulani hivi sitaitaja,

Nilienda kwa ajili ya kubadili kadi yangu kwani ilikuwa inakwisha muda wake

Mimi nimetoka zangu home nimevaa nimependeza nimechomekea shati na nimechana nywele vizuri

Nikafika benki jamaa wa benki anafanya kazi kwa uzembe uzembe mimi ananisimamisha dirishani yeye anapiga story na mwenzake?

Nikajisemea moyoni hivi huyu ananijua kweli au ananichukuliaje, nikawaza au nimfanyie kitu mbaya kama nilivyomfanya mfanyakazi wa NIDA?

Nikamwambia tafadhali naomba ufanye kazi iliyokuleta ofisini wateja wengi bado tuna kazi nyingi za kufanya

Jamaa kwa kiburi nae akaanza kunijibu jibu pale akaniambia kwa hasira eti kwanza katoe kopi kitambulisho chako ndio urudi, nikamwambia kopi ninayo, nikampa akanipa fomu nikajaza

Sasa basi nilivyorudisha ile fomu jamaa nikakuta amefyumu halafu alivyo na dharau anaongea kwa sauti,

Eti mtu mwenyewe haelewi, anatusumbua sumbua utadhani ana mamilioni kwenye akaunti,
Sasa kitu alichokuja kunifanya nipandishe mizimu ni pale alivyosema

Mtu kwenye akaunti ana elfu sitini halafu anatusumbua sumbua hapa!

Daaah niliaibika mbele za watu, nilitamani nimrukie jamaa palepale ning'oe korodani zake ila pale benki kulikuwa na polisi nikamuheshimu tu huyi polisi maana sikutaka kuanzisha tu vagi maana polisi mimi naonaga ni Raia wakakamavu tu!

Nikamwambia yule jamaa mdomo wako umekuponza nitadili na wewe personal!

Basi jana sikufanya kazi siku nzima ili nimfundishe jamaa kuwa mwenye elfu sitini kwenye akaunti anaweza kukutoa uhai

Jamaa jana nimemlia target ile saa 11 wanatoka benki nilimsindikiza nyuma nyuma alipofika mbali kidogo na benki nikamshika nikamwambia bro unanikumbuka mimi ndio yule mwenye elfu sitini kwenye akaunti nimekuja kuitoa!

Kabla hajaongea chochote nikamvuta mkono nikaunyonga,
Pale pale kwa spidi ya haraka kama umeme nikamtwisha ngumi nzito mgongoni,
Ile ngumi ikasindikizwa na head moja ya hatari nilimpa head nzito akahisi dunia inazunguka,
Kabla hajatua chini nikamzaba kofi moja matata sana

Nilimchakaza ndani ya dakika moja halafu nikamwambia
Kesho nakuja kutoa ile elfu sitini yangu tena naitolea ndani ,

Kwa jinsi alivyonihaibisha nahisi adhabu niliyompa haijamtosha niko nafikiria adhabu nyingine nzuri ya kumpa

Ngoja nitafakari nimfanyeje ili nimalize hasira zangu huyu mtu naombeni ushauri jamani nimpe adhabu gani?

Maana kitendo chake cha kutaja salio langu la benki si cha kiungwana hata kidogo yaani nina hasira sana na huyu mpuuzi nitamfanyia kitu kikubwa nchi nzima itajua!

Tangu alivyoniaibisha mbele ya watu hata kula sili chakula hakipandi kabisa, yaani ngoja ntamuonesha kazi

Stay tuned
Hahaha sometimes marijuana si nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu bwana wanachukulia kila mtu ni bwege bwege

Mimi nilikuwa nimeishaapa kutulia na kufanya mishe zangu niachane na mambo ya fujo fujo sasa kumbe bado kuna watu wanataka fujo,

Juzi nilienda benki ya NMB wilaya fulani hivi sitaitaja,

Nilienda kwa ajili ya kubadili kadi yangu kwani ilikuwa inakwisha muda wake

Mimi nimetoka zangu home nimevaa nimependeza nimechomekea shati na nimechana nywele vizuri

Nikafika benki jamaa wa benki anafanya kazi kwa uzembe uzembe mimi ananisimamisha dirishani yeye anapiga story na mwenzake?

Nikajisemea moyoni hivi huyu ananijua kweli au ananichukuliaje, nikawaza au nimfanyie kitu mbaya kama nilivyomfanya mfanyakazi wa NIDA?

Nikamwambia tafadhali naomba ufanye kazi iliyokuleta ofisini wateja wengi bado tuna kazi nyingi za kufanya

Jamaa kwa kiburi nae akaanza kunijibu jibu pale akaniambia kwa hasira eti kwanza katoe kopi kitambulisho chako ndio urudi, nikamwambia kopi ninayo, nikampa akanipa fomu nikajaza

Sasa basi nilivyorudisha ile fomu jamaa nikakuta amefyumu halafu alivyo na dharau anaongea kwa sauti,

Eti mtu mwenyewe haelewi, anatusumbua sumbua utadhani ana mamilioni kwenye akaunti,
Sasa kitu alichokuja kunifanya nipandishe mizimu ni pale alivyosema

Mtu kwenye akaunti ana elfu sitini halafu anatusumbua sumbua hapa!

Daaah niliaibika mbele za watu, nilitamani nimrukie jamaa palepale ning'oe korodani zake ila pale benki kulikuwa na polisi nikamuheshimu tu huyi polisi maana sikutaka kuanzisha tu vagi maana polisi mimi naonaga ni Raia wakakamavu tu!

Nikamwambia yule jamaa mdomo wako umekuponza nitadili na wewe personal!

Basi jana sikufanya kazi siku nzima ili nimfundishe jamaa kuwa mwenye elfu sitini kwenye akaunti anaweza kukutoa uhai

Jamaa jana nimemlia target ile saa 11 wanatoka benki nilimsindikiza nyuma nyuma alipofika mbali kidogo na benki nikamshika nikamwambia bro unanikumbuka mimi ndio yule mwenye elfu sitini kwenye akaunti nimekuja kuitoa!

Kabla hajaongea chochote nikamvuta mkono nikaunyonga,
Pale pale kwa spidi ya haraka kama umeme nikamtwisha ngumi nzito mgongoni,
Ile ngumi ikasindikizwa na head moja ya hatari nilimpa head nzito akahisi dunia inazunguka,
Kabla hajatua chini nikamzaba kofi moja matata sana

Nilimchakaza ndani ya dakika moja halafu nikamwambia
Kesho nakuja kutoa ile elfu sitini yangu tena naitolea ndani ,

Kwa jinsi alivyonihaibisha nahisi adhabu niliyompa haijamtosha niko nafikiria adhabu nyingine nzuri ya kumpa

Ngoja nitafakari nimfanyeje ili nimalize hasira zangu huyu mtu naombeni ushauri jamani nimpe adhabu gani?

Maana kitendo chake cha kutaja salio langu la benki si cha kiungwana hata kidogo yaani nina hasira sana na huyu mpuuzi nitamfanyia kitu kikubwa nchi nzima itajua!

Tangu alivyoniaibisha mbele ya watu hata kula sili chakula hakipandi kabisa, yaani ngoja ntamuonesha kazi

Stay tuned
private mlioandikishwa jeshini hivi majuzi mna mbwembwe nyie!bado unakula kwa mzabuni wa jeshi afu unajitia umeshiba
 
Back
Top Bottom