kilemi
JF-Expert Member
- Mar 13, 2009
- 547
- 107
Huyu alikuwa mwl. wa hisabati pale UDSM aliyependa sana mizaha akiwa darasanai, mojawapo ni hii hadithi hapa:
Hapo zamani za kale akili zilikuwa zinauzwa. Basi mtu mmoja akaenda kununua akili akakuta bei zifuatazo akili no.1=US$1000, akili no.2=US$5000 na akili no.3=US$10000!!
Alipouliza kulikoni bei tofauti akajibiwa:
Akili no.1 ni ya wasomi na wanasayansi, ni akili ambayo imetumika sana hivyo uwezekano wa kuchakaa mapema ni mkubwa sana!!
Akili no.2 ni ya waandishi wa habari, haijapimwa na ikajulikana ilivyo (buy on your own risk) inaweza ikawa imetumika sana, mf. kwa sasa waandishi wa magazeti ya raia mwema, au ikawa mpya mf. waandishi wanaosubiri maagizo ya boss, leo wamchafue nani au wamsifie nani!!
Akili no.3 ni akili ya wanasiasa, hiyo ni mpya kabisa! Hutumika mara moja tu kwa muda wa miaka mitano! Mfano mwanasiasa anayeagiza barabara za flying over zijengwe mara moja, wakati ya Nelson mandela ilimshinda; au kuipa nguvu takukuru wakati boss mwenyewe Richmond ilimshinda.
Alihitimisha kwa kusema: KIDUMU CHAMA CHA DEMOKRASIA MAKINI!!!
Mungu amkaze pema peponi!!
Hapo zamani za kale akili zilikuwa zinauzwa. Basi mtu mmoja akaenda kununua akili akakuta bei zifuatazo akili no.1=US$1000, akili no.2=US$5000 na akili no.3=US$10000!!
Alipouliza kulikoni bei tofauti akajibiwa:
Akili no.1 ni ya wasomi na wanasayansi, ni akili ambayo imetumika sana hivyo uwezekano wa kuchakaa mapema ni mkubwa sana!!
Akili no.2 ni ya waandishi wa habari, haijapimwa na ikajulikana ilivyo (buy on your own risk) inaweza ikawa imetumika sana, mf. kwa sasa waandishi wa magazeti ya raia mwema, au ikawa mpya mf. waandishi wanaosubiri maagizo ya boss, leo wamchafue nani au wamsifie nani!!
Akili no.3 ni akili ya wanasiasa, hiyo ni mpya kabisa! Hutumika mara moja tu kwa muda wa miaka mitano! Mfano mwanasiasa anayeagiza barabara za flying over zijengwe mara moja, wakati ya Nelson mandela ilimshinda; au kuipa nguvu takukuru wakati boss mwenyewe Richmond ilimshinda.
Alihitimisha kwa kusema: KIDUMU CHAMA CHA DEMOKRASIA MAKINI!!!
Mungu amkaze pema peponi!!