1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,289
- 12,632
Mzee hizo nduki punguza,Mmeachana?? Au
1 Umeacha
2 Umeachwa
Kama bado unampenda mpigie simu umueleze ukweli
Ndukiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee hizo nduki punguza,Mmeachana?? Au
1 Umeacha
2 Umeachwa
Kama bado unampenda mpigie simu umueleze ukweli
Ndukiiiii
Pole mkuuPole boss wangu. Mie mwenye napata taabu kama yako toka Jo anipige cha mbavu sijaona mbadala wake, nilipo nimejibanza, ila ikatokea aakchika na mume wake wa sasa navuta jiko.. huwa napata taabu sana anapo nisalimia kwa whatsapp alafu profile picture yake kapiga yeye na mumewe huwa naumia sanaaa... natamani nifumbe macho nisione picha ila haina namnaaa
Mzee baba, shukuru tuNimeacha kitambo sana kukariri namba za mademu kumbe kuna wana huli suala bado linawatesa. Yaani mimi tukizinguana na ikitokea nimefuta no yako ndio basi tena.
Wanasema dama zimesmakukuna baadh ya binadam ukiwa nao ktk mapenz ningum sana kuwasahau hata kama haukua na mapenz yakwel kwake na hii situation sijui hua inasababishwa na nin
Weka mkuuMkuu pole sana kama ndo Hajir mhoamed, andika maumivu, nategemea kufunga naye ndoa mwezi Wa 12 tena alinisimulia kila kitu, nina namba yako so ukileta ujuaji naiweka hapa
If you know all this, why....Maumivu ya kuachwa ni makalii mnoo!
Hajir alishapona kidonda cha maumivu na wewe sasa ujifunze kuishi bila yeye sababu ilikuwa ndo lengo lako!
Mapenzi hayana mwenyewe
Sorry my King...If you know all this, why....
waiting...
Thanks to hear from you, my lady, hoping tomorrow utanielezea if God wish, mana nilikuwa na wasiwasi ya kilichokukuta had ukawa hivyo for those days.Sorry my King...
Will never leave you mhenga wangu !
Worry out dear...Thanks to hear from you, my lady, hoping tomorrow utanielezea if God wish, mana nilikuwa na wasiwasi ya kilichokukuta had ukawa hivyo for those days.
Sleep well.