Nimemkumbuka Ex wangu

Baada ya kuifuta nambs yake ya simu, ungekata na kichwa chako ukakitupa!!
Habari zenu humu ndani.
Mwenzenu leo sina furaha sana maana akili yangu yote inamuwaza Hajir mpenzi wangu tuliyeachana nae kama miezi zaidi ya minne sasa.

Sema ukweli nilikuwa nampenda sana Hajir wangu. Tangu tuachane nimejaribu kuingia kwenye mahusiano mapya kama mara tatu hivi lakini wapi, sipati furaha kama niliyokuwa nayo nilipokuwa na Hajir.

Nakumbuka tulipoachana nilifuta namba yake ili nikate mawasiliano naye kabisa. Hili halikusaidia maana namba take imo kichwani mwangu.

Anyway, kama yumo humu naomba anisamehe kwa niliyomtendea anisamehe tuishi kama zamani. Niliyokufanyia ilikuwa ni hasira tu Hajir mpenzi wangu. Nakupenda sana.
 
Pumbavu, mwanaume anayegeuka nyuma ana vinasaba vya ushoga! Shoga ndo hugeuka nyuma! Songa mbele acha wehu
 
Habari zenu humu ndani.
Mwenzenu leo sina furaha sana maana akili yangu yote inamuwaza Hajir mpenzi wangu tuliyeachana nae kama miezi zaidi ya minne sasa.

Sema ukweli nilikuwa nampenda sana Hajir wangu. Tangu tuachane nimejaribu kuingia kwenye mahusiano mapya kama mara tatu hivi lakini wapi, sipati furaha kama niliyokuwa nayo nilipokuwa na Hajir.

Nakumbuka tulipoachana nilifuta namba yake ili nikate mawasiliano naye kabisa. Hili halikusaidia maana namba take imo kichwani mwangu.

Anyway, kama yumo humu naomba anisamehe kwa niliyomtendea anisamehe tuishi kama zamani. Niliyokufanyia ilikuwa ni hasira tu Hajir mpenzi wangu. Nakupenda sana.
Si umesema namba yake ipo kichwani,jaribu kumpigia simu..kuna watu wanaachana miaka wakimissiana wanatafutana na wanaanza moja wewe miezi minne sio mingi.
 
Pole saaana mkuuu
Pole boss wangu. Mie mwenye napata taabu kama yako toka Jo anipige cha mbavu sijaona mbadala wake, nilipo nimejibanza, ila ikatokea aakchika na mume wake wa sasa navuta jiko.. huwa napata taabu sana anapo nisalimia kwa whatsapp alafu profile picture yake kapiga yeye na mumewe huwa naumia sanaaa... natamani nifumbe macho nisione picha ila haina namnaaa
 
Those are things that kills. Chakufanya ni kata mti panda mti. Hata kama miti mipya n mibovu fyeka panda upya. Paka upate sehem sahihi
Huwa ni zile moments mnazokuwa pa1...outings...laughs...datings n.k...mkiachana moments turns into memories na apo tatizo ndo huwa linaanzia.
 
Habari zenu humu ndani.
Mwenzenu leo sina furaha sana maana akili yangu yote inamuwaza Hajir mpenzi wangu tuliyeachana nae kama miezi zaidi ya minne sasa.

Sema ukweli nilikuwa nampenda sana Hajir wangu. Tangu tuachane nimejaribu kuingia kwenye mahusiano mapya kama mara tatu hivi lakini wapi, sipati furaha kama niliyokuwa nayo nilipokuwa na Hajir.

Nakumbuka tulipoachana nilifuta namba yake ili nikate mawasiliano naye kabisa. Hili halikusaidia maana namba take imo kichwani mwangu.

Anyway, kama yumo humu naomba anisamehe kwa niliyomtendea anisamehe tuishi kama zamani. Niliyokufanyia ilikuwa ni hasira tu Hajir mpenzi wangu. Nakupenda sana.
Mkuu shemela ndiye aliekupiga kibuti? kama hivyo ndivyo ndugu yangu itapata taabu sana....sijui ni nini sababu ya kuachana kwenu....lkn kama nisemavyo ni kweli....jitahadi kumsahau na tafuta mwanamke mwingine ambae utajizoesha taratibu maana yawezekani asikingie hakilini na moyoni kwa muda mfupi.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom