Alokwambia keshataman kumbwaga byfrnd nani kama huna iman na mpnz wako bas hujiamini
jamaa ana bahati kweli, kamiti na wewe mkainjoi dah!. natamani ungemiti nami aisee.
naona unanunua bifu kutoka kwa manka wazi wazi ..
Habari zenu wana jr..i hope mnaendelea vyema na ujenz wa Taifa
jaman me nmekuja hapa (1)cjui nielezee vipi lakini kikubwa ni kuwa nimemiti na rafiki yangu wa humu jamii forums (2)ni HB alafu kuna (3)vitu flan flan nmevipenda kwake alafu ni mchesh mby kitu ambacho ndo nmevutiwa nacho saana na kwa ujumla binafsi nimevutiwa nae sana tumepeana kampany sana tuu na (4)nliinjoy sana naye pia (5)kaonyesha kunpenda na kwa jinsi (5)nnlivyomsoma hana girl ambae amejicomit kwake kikubwa kinachotaka kujitokeza ni kuwa (6)najifill nataka kumpenda sana ukizingatia me teyar nna Boyfrind wapendwa nishaurini nifanyaje nsije nkalikoroga kwa mpenz wang
Nyimbo ya taifa haichezwi disco,cku moja2 ushatamani kumbwaga boyfrnd wako?kwahlo cna iman tena na mpnz wngu kumbe wanawake ndo mlvo?
mhm soma maaelezo yangu vizuri hujanielewa
mawazo yako yanakwambia tuliinjoy nn
Huyu Manka vipi, nilifikiri ananizungumzia mimi, kumbe Ivuga nawe vile vile mlimeet na Manka?manka utasababisha wadadaz wengine nao waanza kutamani ku meet na mimi.
1. Kama kwa haya hujui cha kueleza wewe ni mnafiki hata kwa nafsi yako
2. Subjective saaaanaaaa
3. Hapo ushaamua unataka kura za kukuunga mkono
4. Appreciation kwa baadhi yenu ni OK implied
5. Unaendelea kujiridhisha nafsi kwa kufikiria
6. Sio kila muungurumo ni gari.........generator pia huunguruma
7. Unajifil unataka.........
Chicken headed.....n you dont even say kama unampenda boyfriend wako zaid ya kusema yupo!!!!!
Boyfriend wako atakushauri vizuri sana n at tha same time ataamua na ya upande wake
si umesema mliinjoy sana? siwezi jua mlicho enjoy labda utudokezee
Huyu Manka vipi, nilifikiri ananizungumzia mimi, kumbe Ivuga nawe vile vile mlimeet na Manka?
Habari zenu wana jr..i hope mnaendelea vyema na ujenz wa Taifa
jaman me nmekuja hapa cjui nielezee vipi lakini kikubwa ni kuwa nimemiti na rafiki yangu wa humu jamii forums ni HB alafu kuna vitu flan flan nmevipenda kwake alafu ni mchesh mby kitu ambacho ndo nmevutiwa nacho saana na kwa ujumla binafsi nimevutiwa nae sana tumepeana kampany sana tuu na nliinjoy sana naye pia kaonyesha kunpenda na kwa jinsi nnlivyomsoma hana girl ambae amejicomit kwake kikubwa kinachotaka kujitokeza ni kuwa najifill nataka kumpenda sana ukizingatia me teyar nna Boyfrind
wapendwa nishaurini nifanyaje nsije nkalikoroga kwa mpenz wang
Wazuri wapo wengi,utajikuta unarukaruka kama kitenesi..sikia kengele ngrrrrrrr...tulia na wa kwako.!!unaweza kumfanya awe vile upendavyo,dont focus much on ready made coz there is cost behind...
Hapa naona mihemko tu.