General Akudo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 560
- 824
Wanajamii awali ya yote namshukuru Mungu kwa kuendelea kuruhu niwe hai, Pia naomba marehemu wote na hasa Kapt Komba aendelee kupumzika katika makazi ya kudumu kadili anavyostahili.
Nimekumbuka lile jimbo lake matata,
sasa kumekucha jogoo limekwisha wika dodoma
kada wa ccm apewe kura za ndio
yule pale yule pale mumemuonaaa
kada wa ccm apewe kura za ndiooo
Povuuuuu
Nimekumbuka lile jimbo lake matata,
sasa kumekucha jogoo limekwisha wika dodoma
kada wa ccm apewe kura za ndio
yule pale yule pale mumemuonaaa
kada wa ccm apewe kura za ndiooo
Povuuuuu