Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 6,995
Dalili ya mvua......
Kumbuka ndoa ni wajibu ila harusi ni biashara....Ngoja tukitoka kazini utaniambia ulikomjulia huyo sijui Vin Diesel au Vin Petrol....whatever you call him.
jamani mpenzi, 'mfupa hauna ulimi' nisamehe mume wangu, nimemtaja kimakosa tu honey!!!!!
Pacha angu Passion Lady, my cousin ladyfurahia na my wii Heaven on earth hebu kujeni mnisaidie kujitetea mwenzenu nasikia harufu ya damu kumwagika leo.
Last edited by a moderator: