stevoh huna maana kabisa aise
yaani kujificha kwako kote ndo unakuja na dongo kama hili
Waje kwanza huku wahusika.
na unieleze kwa kina
sababu ya kumning'iniza aunt yangu
namna hiyo ka kuku anaepelekwa machinjioni!!
Jamani ndo kusema umejitoa
hao wababa wanaitaji maombi kwa kweli
Haujambo mkwe?
Swaafi..napenda watu wenye maamuzi magumu kama wewe...keep it up
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us