buffaro89
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 592
- 378
inawezekana hiyo,ndio nyota yako! tena sina uhakika kama hata kiwanja unacho au shamba kwa akiri kama hii, akiri ya mchwa! ukome, wanunulie wote basi!!! thread zingine sio lazima uzilete uku, hatuna habari na mazoba zoba kama nyie! kesho utamlalamikia magufuri kuwa amebana!!jinga weee!Naomba msaada wenu nimemnunulia Huawei y6 pro ya 300000 nikiwa na maana anikubali mapema je, niripoti polisi kuwa imeibiwa maana e-mail na kila kitu nnacho nimejarbu kublock kwakutumia e-mail nimshindwa