Babafetty
Senior Member
- Nov 11, 2013
- 107
- 107
Habari wanajamvi,
Leo baada ya kula chakula cha mchana, nlichukua toothstick na kukikata kipande kikubwa kias na kusafisha meno kwa kutoa mabaki ya chakula yaliyojishikiza kati ya jino na jino,
Nkiwa na wadau napiga story, nliomba maji ya kunywa huku stoothstick ikiwa mdomoni,
Sielewi ikawaje, nmejisahau, nkajikuta nmemeza ile stick kwa maji,
Ghafla nkaisikia imekwama katika koo,
Nkikohoa itoke ikashindikana, nkaagiza ndizi mbivu na kumeza nkaona imepitiliza tumboni,
Naomba kujua madhara ntakayoyapata ama nini natakiwa kufanya kupunguza madhara km yapo.
Leo baada ya kula chakula cha mchana, nlichukua toothstick na kukikata kipande kikubwa kias na kusafisha meno kwa kutoa mabaki ya chakula yaliyojishikiza kati ya jino na jino,
Nkiwa na wadau napiga story, nliomba maji ya kunywa huku stoothstick ikiwa mdomoni,
Sielewi ikawaje, nmejisahau, nkajikuta nmemeza ile stick kwa maji,
Ghafla nkaisikia imekwama katika koo,
Nkikohoa itoke ikashindikana, nkaagiza ndizi mbivu na kumeza nkaona imepitiliza tumboni,
Naomba kujua madhara ntakayoyapata ama nini natakiwa kufanya kupunguza madhara km yapo.