Pole sana ndugu yangu. Kuna mambo kama mawili hivi. Moja inaweza kudhoofishwa na acid ya tumbo na hivyo kutolewa kwa njia ya haja kubwa bila madhara. Pili, inaweza kusababisha pancha kwa utumbo na hivyo kupelekea kupata maumivu makali. Ukihisi hivyo wahi kwa daktari mara moja ili upate ushauri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.