Nimemeza kipande cha toothstick kwa bahati mbaya, nini madhara yake.

Wewe ndo ambae ulimeza tunda ya ubiyu au mwingine tena?.....Ila majibu ya humu aisee ukiyasoma huwezi jua kama upo Facebook au kwa great thinker
 
Pole sana ndugu yangu. Kuna mambo kama mawili hivi. Moja inaweza kudhoofishwa na acid ya tumbo na hivyo kutolewa kwa njia ya haja kubwa bila madhara. Pili, inaweza kusababisha pancha kwa utumbo na hivyo kupelekea kupata maumivu makali. Ukihisi hivyo wahi kwa daktari mara moja ili upate ushauri.
 
Back
Top Bottom