Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
HajachukuaAlichukua man
HajachukuaAlichukua man
akikujibu nitagNatumai bado unaangalia mechi,kama hauangalii taarifa ni kwamba Sammata amebahatisha tena goli huko.
Kumbuka defence ya Anderlecht inaongozwa na Vincent Kompany.
View attachment 1188626
AibuuuKwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....
Sitoagi like kwako lkn leo umenifurahisha sanaWivu utakuua.
ila samata anamzidi kiwango lingard wa Manchester UnitedKwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....
Wewe jamaa unalipenda sana Chama langu la United..sema unajifanya tu huelewiila samata anamzidi kiwango lingard wa Manchester United
iyo team nikiambiwa nikajitoe muhanga uwanjani naenda hata asaivi siwapendi sababu ya ujinga wa mashabiki wakeWewe jamaa unalipenda sana Chama langu la United..sema unajifanya tu huelewi
Kapiga bonge la goli. Tena amelitengeneza mwenyewe aikiwa nje ya box. Then akaingia ndani ya box akarudishiwa mpira.Natumai bado unaangalia mechi,kama hauangalii taarifa ni kwamba Sammata amebahatisha tena goli huko.
Kumbuka defence ya Anderlecht inaongozwa na Vincent Kompany.
View attachment 1188626
Goli tamu sana.Kapiga bonge la goli. Tena amelitengeneza mwenyewe aikiwa nje ya box. Then akaingia ndani ya box akarudishiwa mpira.
Hawezi,anasoma tu comments huku amefura kwa hasira.akikujibu nitag
Rudia upya kuangalia goli lilivopatikana,Natumai bado unaangalia mechi,kama hauangalii taarifa ni kwamba Sammata amebahatisha tena goli huko.
Kumbuka defence ya Anderlecht inaongozwa na Vincent Kompany.
View attachment 1188626
Wewe ndio urudie kunisoma vizuri baada ya kumsoma mleta mada.Rudia upya kuangalia goli lilivopatikana,
Utaona chanzo cha goli alikuwa niyeye mwenyewe Samatta..
Au nunua miwani