Nimemcheki Samatta kwenye Game ya Genk vs Anderletch. Samatta hana uwezo wa kucheza England

Msimu uliopita hajachukua kiatu kweli
Hata Suarez wa Barcelona yupo hivyohivyo tu.

Yeye ni kutupia tu na hapo Genk huwaambii kitu na asipopata majeraha ya muda mrefu atakuwa mfungaji bora wa msimu.

The end justifies the means,Dinho na vyenga vyake vyote vile ana Ballon moja tu.
 
Kwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....
Mchawi mtu paka katumwa
 
Kwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....
Samata anacheza popote pale unamuona hakuwa vizur kipindi chakwanza ni kwakuwa aina ya wachezaji anaocheza nao
 
Kwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....
Hater!
England kuna ma striker wabovu sana huwezi hata kuwalinganisha na saad kipanga au Eliuta mpepo
Hivi lukaku unaweza kweli kumlinganisha na samatta?
 
Kwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....
Wewe usiye na bahati unacheza ligi gani?
 
Kwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....
We hujui mpira
 
Back
Top Bottom