Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,650
- 26,098
Kijana ahajitahidi kucheza mpira. Hayo mambo ya jiwe sijui nini ni upuuzi mtupu.Hahahahahahahah Lazima umtetee wote si mnaunga mkono juhudi za Jiwe hahahahahahahahah Jokes
Kijana ahajitahidi kucheza mpira. Hayo mambo ya jiwe sijui nini ni upuuzi mtupu.Hahahahahahahah Lazima umtetee wote si mnaunga mkono juhudi za Jiwe hahahahahahahahah Jokes
Hata Suarez wa Barcelona yupo hivyohivyo tu.
Yeye ni kutupia tu na hapo Genk huwaambii kitu na asipopata majeraha ya muda mrefu atakuwa mfungaji bora wa msimu.
The end justifies the means,Dinho na vyenga vyake vyote vile ana Ballon moja tu.
Hahahahahahahahah, Sawa ngoja niendelee kutembea kifua mbele tena kikiwa wazi.Kijana ahajitahidi kucheza mpira. Hayo mambo ya jiwe sijui nini ni upuuzi mtupu.
Mchawi mtu paka katumwaKwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....
Alichukua manMsimu uliopita hajachukua kiatu kweli
Endelea tu hata ukitaka uache matako wazi; lakini Samatta ni kijana anayejitahidi na ninamtakia mafanikio mema.Hahahahahahahahah, Sawa ngoja niendelee kutembea kifua mbele tena kikiwa wazi.
Samata anacheza popote pale unamuona hakuwa vizur kipindi chakwanza ni kwakuwa aina ya wachezaji anaocheza naoKwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....
Hater!Kwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....
Wewe usiye na bahati unacheza ligi gani?Kwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....
We hujui mpiraKwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.. Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya..
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk .
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain... Hana zile mishemishe za kistriker... Bado anampira wa kitanzania....