DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,452
- 99,067
Mambo ya mahusiano sometimes unaeza fanya maamuz afu baadae ukajikana mwenyewKwanini umemrudia mara ya pili mwanamke aliyemtukana mkeo???
Kwanini washikaji zako wanaingilia mahusiano yako?ushikaji gani wakuingiliana mahusiano bila kuulizana maswali ya msingi?yaani demu ana waset washikaji zako hlf hamna hata mwana mmoja anakusanua washikaji wote wanakuwa upande wa mchepuko???
Shukuru tu Mkeo nimuelewa ila mzee ulibugi
Sent using Jamii Forums mobile app