Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,462
- 6,506
ZERO IQ wewe ni noma sana hutaki kufunga ndoa wewe kazi yako ni kuchakata tu Wanawake.
Lazima litakuwa la uongoJibu halitakosekana.
Yaani mkuu kuna wenzetu haya mambo wanafanya kama ajiraZero IQ bado unahangaika tu na Wanawake wengiwengi hutaki tu kusimama njia kuu?
KasieHujawajua wanawake wewe.....
1. Wameelewana wakufanyie umafia kukuumiza kwa kuwa nao wote kwa wakati mmoja, singo maza zaatachia ngazi huyo mchumba atalipiza kisasi na kukuacha.
2. Hama hapo unapokaa, mwambie mchumba wako nae abadili namba na wewe badili namba na ubadilike kweli kweli uache michepuko.
3. Komaa kiume lolote litalotokea kabiliana nalo. Ukizidiwa lia kwanguvu piga na uyowe kabisa uondoe machungu halafu uendelee na maisha.