mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 768
wana jf habarini za muda!!
bwana mi nipo kwenye uhusiano na bint fulani tangu 2007 inshort alinitokea ckua nimempenda kiviiile sema nikazidiwa na mapenzi yake.nikawa chuo dsm yeye arusha.kamaliza mwaka huu na ameshapata kazi somewhere-accountant!!...siku za hivi karibuni nimetokea kumbadilikia sana hata kufikia kutaka kusitisha uhusiano wangu mimi na yeye..sababu kubwa ni mapenzi kwake kuisha kabisa...mbaya zaidi nikiongea nae haizidi 1 minute sina hamu nae tena,akija kwangu hatutaongea cha maana ataondoka..
Nimejaribu kuyafikiria maisha ya km baba na mama naona itakua ngumu...ni binti ambaye kwa kweli anaonekana anajitunza..hajawahi kuninyesha cheating yeyote wala kusikia.
Nakerwa zaidi na jins ambavyo yupo serious sana pia hanipi ile hapness km mtoto wa kike....sina uhusiano mwingine kwa sasa..ila ni zaidi ya wik 3 sitaki kuonanna nae...
Pia ana tabia ya kujiproud/kujisifia kitu ambacho cpend,,,na ana asume cwez mwacha sababu ya elimu yake...na kazi yake
nishaurini....nipige chini mazima nianze upyaa?
bwana mi nipo kwenye uhusiano na bint fulani tangu 2007 inshort alinitokea ckua nimempenda kiviiile sema nikazidiwa na mapenzi yake.nikawa chuo dsm yeye arusha.kamaliza mwaka huu na ameshapata kazi somewhere-accountant!!...siku za hivi karibuni nimetokea kumbadilikia sana hata kufikia kutaka kusitisha uhusiano wangu mimi na yeye..sababu kubwa ni mapenzi kwake kuisha kabisa...mbaya zaidi nikiongea nae haizidi 1 minute sina hamu nae tena,akija kwangu hatutaongea cha maana ataondoka..
Nimejaribu kuyafikiria maisha ya km baba na mama naona itakua ngumu...ni binti ambaye kwa kweli anaonekana anajitunza..hajawahi kuninyesha cheating yeyote wala kusikia.
Nakerwa zaidi na jins ambavyo yupo serious sana pia hanipi ile hapness km mtoto wa kike....sina uhusiano mwingine kwa sasa..ila ni zaidi ya wik 3 sitaki kuonanna nae...
Pia ana tabia ya kujiproud/kujisifia kitu ambacho cpend,,,na ana asume cwez mwacha sababu ya elimu yake...na kazi yake
nishaurini....nipige chini mazima nianze upyaa?