Twyn
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 998
- 545
Selection Nimepata MD chuo cha kcmc na pharmacy CUHAS mkuu
*NENDA PHARMACY *
Lakini kama unaipenda medicine ukikaza unaweza ukaishinda hio hali ya kuogopa damu
Selection Nimepata MD chuo cha kcmc na pharmacy CUHAS mkuu
Ahsante sana kwa ushauri mkuu namie naona Bora nisome pharmacy.*NENDA PHARMACY *
Lakini kama unaipenda medicine ukikaza unaweza ukaishinda hio hali ya kuogopa damu
Umempotosha aliyeuliza swali kwa asilimia 80%Pharmy, clinical officer, medical lab nk ila MD usiguse kuna damu nyingi sana.
Mmh kwann Msweet!?Umempotosha aliyeuliza swali kwa asilimia 80%
Gud luck, nenda MD uje tule mema ya nchi 😋 omba upate mkopo naona vyuo vyote ni vya private 6M+....Selection Nimepata MD chuo cha kcmc na pharmacy CUHAS mkuu
Ahsante sana kwa ushauri mkuu namie naona Bora nisome pharmacy.
Hivi CUHAS ndiyo Chuo gani? Sisi wa enzi tumepitwa na vyuo vipya. Hongera sana. Piga PharmacySelection Nimepata MD chuo cha kcmc na pharmacy CUHAS mkuu
Kwahiyo mdogo angu ni kwamba...Ninataka kusoma afya ila siwezi kuona damu, nimemaliza PCB div 1.8 Kuna course gani za afya ambazo hazihusishi kuona damu?
Matokeo yang ya form 6 ni phy C chem B bio C
Hivi CUHAS ndiyo Chuo gani? Sisi wa enzi tumepitwa na vyuo vipya. Hongera sana. Piga Pharmacy
Ohh asante. Nili search pia Jana nikaona. I believe ni Chuo kizuri kwa private baada ya say Muhimbili. Ila ukweli serikali ina vyuo vikuu vichache Afya. Vya mambo mengine viko vingi. Matokeo yake waliosoma masomo ya Science wanaishia kulipa heavy fees ya degree vyuo vikuu private kama hiyo Bugando, Kairuki n.k ambako nasikia Ada zinaanzia 6m plus. Na Loan Board usipopata mkopo ni mzigo Sana kwa wazazi wa moderate income. Serikali iliangalie hili.CUHAS=catholic university of health and Allied Sciences...maarufu BUGANDO
Selection Nimepata MD chuo cha kcmc na pharmacy CUHAS mkuu
Uoga tu mkuu huo watu wa medicine wengi walianza hivyo hivyo mkuu.*NENDA PHARMACY *
Lakini kama unaipenda medicine ukikaza unaweza ukaishinda hio hali ya kuogopa damu
😁😁😁😁
Saivi Hamna kufata Ndoto.... Tunaelekea upepo Unapovuma Mkuuacha kufuata mkumbo, hizo kazi za afya sio kipawa chako ni vile tu mnafosi kupitia taharuma zenu, watu msiokuwa na kipawa cha kuipenda kaz fulan, hata utendaj wenu huwa wa hovyo hovyo,.
acha kabisa, tafuta jambo la ndoto zako, na kama ili ni ndoto zako bas ni ndoto za mchana ambazo kutimia ni nadra, nenda kalale tena uote ndoto zako halisi, nakusisitiza tena, achana na jambo ambalo haliko ktk kipawa chako, u can't do something that u dnt love it,, achana na izo mambo tafta vitu vingine mbna kuna mambo mengi ya kufanya?? nyie ndio wale ambao hamkuandaliwa kisaikolojia kuja kuwa yule mtu wa ndani, yaan kuonesha uhalisia wako wa ndani, matokeo yako hayawez kudetermine future yako, bali kipawa chako na mapendekezo yako ya ndani ndyo huonesha wew ni nan, na utakuwa nani, acha mkumbo kijana kaka zako hapa tunakusisitiza hata sie tumepitia hayo.....ukweli mchungu
Hiyo ni psychological phobia alionayo na kila MTU ana phobia yake kwaio muacheni tu
Nlisoma hio combi na sikuwahi kuwaza kuwa Dk actually hiyo combi.ni kama nlisukumizwa na walimu wangu wa sayansi 0level. Nkakimbilia zangu Utawala. Nawazaga sana kudili waliopata ajali, inahitaji.moyo sana ndio maana MD wengi ni walevi wakutupwa