Good Morning Tz
Senior Member
- Sep 17, 2019
- 122
- 250
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu. Mimi ni kijana niliye maliza mkataba wangu wa kulitumikia jeshi la kujenga taifa (jkt) miaka mitatu, nipo Arusha kwa sasa natafuta kazi yoyote ya halali maisha magumu mtaani naombeni kazi nipate japo chochote kitu.
0654635623.
Nipe connection mkuuKampuni za ulinzi zinakusubiri mkuu
Asante sana mkuuTafuta kwenye kampuni za ulinzi huwezi kosa.
Mkumbushe pia yeye ndy target.Tafuta kwenye kampuni za ulinzi huwezi kosa.
Kila sehem ya utafutaji wa maisha huwa ina risk zake mkuu.Mkumbushe pia yeye ndy target.
Siku ikitokea wakija wale jamaa wa kutumia nguvu kumtembelea.
Awamu hii ajira za JW zimekua za wajenzi zaidi kumbuka waliojenga ukuta Mererani walikula shavuHv naskia jw ni maconnection hv ni kweli??
Hahahah na kupiga piga watuSuma JKT mshahara wao Tsh 170,000 na kupigapiga watu
Huo ndy ukwl mkuu...Kila sehem ya utafutaji wa maisha huwa ina risk zake mkuu.
Halafu ondoa hio mentality kwamba kila alipo mlinzi basi wazee wa kazi wanakuja any Time T.
Walinzi wengine huwa wanakuwa receptionists tu
Ww hata huelewi. Mkataba ukishaisha unakwenda kujitafutia mwenyewe.Vipi hapo Jkt wamewafukuza?Si bora ubaki uwe unasikilizia posho na mkate wa jeshi huku ukipiga kazi za watu.
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Nipigie 0744033555 nikupe mwongozo wa kujiunga na KK (NOW GARDAWORLD)Huo ndy ukwl mkuu...
Kitu cha kwanza ktk kufanya uhalifu wowote wa kutumia nguvu ni mlinzi awe targeted..
Mengine yanafuata..
Hilo alijuwe kwanza,,,
Wapigie hawaNipe
Nipe connection mkuu
zamani watu walikuwa wanakaa jeshini hata mkataba ukiisha kuna watu nawajua walikaa jkt zaidi ya miaka7Ww hata huelewi. Mkataba ukishaisha unakwenda kujitafutia mwenyewe.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us