macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,689
- 39,375
Isingepatikana. Lakini siku zote herd huminity inakuja na cost yake: i.e. unapata vifo vingi kwa wakati mmoja.Tungejifungia ndani, hiyo herd immunity ingepatikana?
Isingepatikana. Lakini siku zote herd huminity inakuja na cost yake: i.e. unapata vifo vingi kwa wakati mmoja.Tungejifungia ndani, hiyo herd immunity ingepatikana?
Mimi naamini na kumwamini Mungu. Lakini napata ukakasi wa kusema Mungu ndiye aliyetusaidia kwa sababu mataifa karibu yote ya Afrika hayakuathirika sana na korona. Ndiyo maana nimesema jaribu kushughulisha akili zako kidogo uone eg Kenya, Uganda etc vifo ni vichache ku-compare na Ulaya na Amerika. Hata China ukichukuwa population na kulinganisha na vifo bado idadi iko chini. Hivyo unaponiambia Mungu alitusadia sisi mimi nitakubishia kwa sababu kuna nchi nyingine ambazo ziko sawa na sisi au hata vizuri kuliko sisi. Kitu ambacho hujui ni kuwa Tanzania ule mwezi wa 4 na 5 kulitokea vifo vingi tu lakini vilifichwa. Sasa sisi tuliopoteza watu wengi kuliko Uganda na Kenya tikisema Mungu alitusaidia hawa majirani zetu watasemaje? Mungu husadia tu watu wanatimiza wajibu wao. Huwezi kupuuza hatari halafu ukasema eti Mungu atakusadia. BTW mbona hajatusaidia kwenye magonjwa mengine kama malaria ambayo yanaua hata watoto wadogo?Wewe wengine mpaka leo wamejifungia na wanaangamia ukisema Mungu kaisadia nchi yetu utapungukiwa nini?
leo hii mbinu alizotumia magufuli zingetumika na wazungu kisha tukaambiwa ni science hakuna ambae angepinga lakini kwa kua ni mweusi mwenzetu tutapinga mpaka mwisho wa duniaUsiseme hivyo,hiyo sayansi yenyewe ni hao hao wanaoteketea ndio wabobezi na maarifa ya sayansi tunakariri kutoka kwao!Sisi na nchi nyingi za Africa kufanikiwa kwenye Corona ni bahati ya mtende!Sio kwasababu tuna Rais mkemia!Hoja nyingine nyepesi nyepesi muwe mnakaa nazo tu vifuani mwenu kulinda heshima zenu!
waafrika tunazodawa za magonjwa yote sema ndo tushatenzwa nguvu kifikra ili tuzione duni tiba zetuHadi dakika hii level seat ishakufa kitamboooo....
Usikute malimao na tangawizi na zile pilipili kichaa ni dawa kweli
Tukisema wewe ni mjinga...Ni bahati ya mtende.
..kwasababu kama ni kumuomba MUNGU, wazungu ndio waliotuletea habari za MUNGU tuliyemuomba.
..sasa imekuaje wao waliotu-introduce kwa MUNGU waathirike kuliko sisi?
Hebu tueleze hiyo sayansi iliyotumika!Ugonjwa wenyewe ulikuwa haujajulikana vema namna unavyosambaa!Sasa tuambie ni sayansi ipi iliyofanya kazi hapa Tanzania na ikashindikana huko Brazil!leo hii mbinu alizotumia magufuli zingetumika na wazungu kisha tukaambiwa ni science hakuna ambae angepinga lakini kwa kua ni mweusi mwenzetu tutapinga mpaka mwisho wa dunia
hata maarifa ya mtu mweusi yanaweza kua sehem ya science hivo tusijidunishe sana kama walivotuaminisha wao kua sisi ni duni
Hivyi unaamini data za China? North Korea? Rwanda? HeheheMimi naamini na kumwamini Mungu. Lakini napata ukakasi wa kusema Mungu ndiye aliyetusaidia kwa sababu mataifa karibu yote ya Afrika hayakuathirika sana na korona. Ndiyo maana nimesema jaribu kushughulisha akili zako kidogo uone eg Kenya, Uganda etc vifo ni vichache ku-compare na Ulaya na Amerika. Hata China ukichukuwa population na kulinganisha na vifo bado idadi iko chini. Hivyo unaponiambia Mungu alitusadia sisi mimi nitakubishia kwa sababu kuna nchi nyingine ambazo ziko sawa na sisi au hata vizuri kuliko sisi. Kitu ambacho hujui ni kuwa Tanzania ule mwezi wa 4 na 5 kulitokea vifo vingi tu lakini vilifichwa. Sasa sisi tuliopoteza watu wengi kuliko Uganda na Kenya tikisema Mungu alitusaidia hawa majirani zetu watasemaje? Mungu husadia tu watu wanatimiza wajibu wao. Huwezi kupuuza hatari halafu ukasema eti Mungu atakusadia. BTW mbona hajatusaidia kwenye magonjwa mengine kama malaria ambayo yanaua hata watoto wadogo?
Hata sasa tukisema turudishe kupimana corona basi utaona wagonjwa wengi wa corona na karibu kila kifo tutaambiwa ni corona. Mimi siamini kuhusu maombi ya corona wala kwamba tumetengeneza kinga ya pamoja dhidi ya corona,hali ilivyo sasa ndio uhalisia wa hicho kinachoitwa corona na hakuna chochote tulichofanya kufanya ndio tuwe na hali hii.Mimi naamini na kumwamini Mungu. Lakini napata ukakasi wa kusema Mungu ndiye aliyetusaidia kwa sababu mataifa karibu yote ya Afrika hayakuathirika sana na korona. Ndiyo maana nimesema jaribu kushughulisha akili zako kidogo uone eg Kenya, Uganda etc vifo ni vichache ku-compare na Ulaya na Amerika. Hata China ukichukuwa population na kulinganisha na vifo bado idadi iko chini. Hivyo unaponiambia Mungu alitusadia sisi mimi nitakubishia kwa sababu kuna nchi nyingine ambazo ziko sawa na sisi au hata vizuri kuliko sisi. Kitu ambacho hujui ni kuwa Tanzania ule mwezi wa 4 na 5 kulitokea vifo vingi tu lakini vilifichwa. Sasa sisi tuliopoteza watu wengi kuliko Uganda na Kenya tikisema Mungu alitusaidia hawa majirani zetu watasemaje? Mungu husadia tu watu wanatimiza wajibu wao. Huwezi kupuuza hatari halafu ukasema eti Mungu atakusadia. BTW mbona hajatusaidia kwenye magonjwa mengine kama malaria ambayo yanaua hata watoto wadogo?
Anachopaishwa Magu ni huo ujasili wa kuamua hivi alivyoamu kwa maana kama angekuwa mwengine pengine basi angefanya kama majirani zetu kwa kuamini ndio njia sahihi ya kupambana na corona.Hivi na hizo nchi zingine za afrika ambako corona haikuwasumbua na walikua wakiendelea na maisha yao na hata sasa wanaendelea na maisha yao ni magufuli ndo alikua anaziongoza.Mnaangaika sana kumpaisha magu ata kwamambo ambayo hayaleti sense labda kwa wajinga.
..Ni bahati ya mtende.
..kwasababu kama ni kumuomba MUNGU, wazungu ndio waliotuletea habari za MUNGU tuliyemuomba.
..sasa imekuaje wao waliotu-introduce kwa MUNGU waathirike kuliko sisi?
Mwana kwa sasa omba Mungu usije ukapata ugonjwa wowote utakaoshusha kinga yako ya mwili .Natural healing
🥂😋😘kiukweli wakati wa corona tungekuwa na Rais toka CHADEMA mnajua maamuzi yangekuwaje.
Wewe ndio mpumbav,tupe sababu ya kwanini Corona haijaathiri sana nchi za EAC na majirani wa nchi hizo!
Stupid you!Je,approach tuliyoifanya ilikuwa na sababu za kisayansi nyuma yake au ni tulicheza kamari?Kichwa panzi kabisa!
Vipi kama Corona ingekuwa inapiga kama Ebola,tungekuwa wapi leo?
Nitakuwa wa mwisho kuamini JPM ana hofu ya Mungu zaidi ya maigizo!Unawezaje kutesa watu halafu unasema una hofu ya Mungu?Kwa Matendo maovu dhidi ya binadamu yanayofanywa na yeye kwa kutumia mamlaka yake,hakuna uwepo wa Mungu ndani yake!
Hivi na hizo nchi zingine za afrika ambako corona haikuwasumbua na walikua wakiendelea na maisha yao na hata sasa wanaendelea na maisha yao ni magufuli ndo alikua anaziongoza.Mnaangaika sana kumpaisha magu ata kwamambo ambayo hayaleti sense labda kwa wajinga.
Tumshukuru Mungu kwa kutuhurumia,hatukuwa na msaada mwingine ila yeye,Mabeberu walikuwa wametabiri vifo vya maelfu ya watu ktk nchi zetu maskini kwasababu ya hali yetu duni lkn Mungu akawageuzia kibao mambo hayakuwa km walivyotarajia.Narudia tena tumshukuru sana Mungu kwa kutuhurumia.Tuache siasa tuache majungu Magufuli ni mwanasayansi asiekuwa muoga na anaejua nini anafanya. Sio kwamba ana miujiza ila alichoweza kuwaaminisha watanzania ni kwamba corona ni mafua ya kawaida sana kawaida ila haiwezi kushindana na uwezo wetu wa kukabiliana na hali tete au hali ngumu.
Alichofanya Magufuli ni kawaondolea watu hofu na kuiona corona kama mafua ya kawaida that how he won against corona. Hili si swala la kiasiasa ni swala kutambua mambo pia tumshukuru Mungu pia kuwa katupa kiongozi anaweza kuona na kutambua hatari na madhara yake leo tungekuwa na lockdown maisha ya watanzania yangekuaje?
Magufuli he is the hero against corona in the world. Kampeni zinaendelea, wapinzani pamoja na chama tawala wote wanajaza watu kwa maelf kiukweli wakati wa corona tungekuwa na Rais toka CHADEMA mnajua maamuzi yangekuwaje.