Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Kulikuwa na sababu za kufanya hivyo kipindi hicho,zama hizi hakuna aliyetumwa na Mungu kuua na kutesa viumbe wake!Wewee jamaa wewee hata historia huijui. Kasome habari za wafalme huko tena wale waliobarikiwa zaidi uone kama hawakutesa na kuua maelfu kwa maelfu na bado Mungu aliendelea kuwabariki.