Range rover
Senior Member
- Nov 22, 2016
- 186
- 195
Wadau habari zenu.
Mimi ndio nimetoka leo jela baada ya kumaliza kifungo changu. Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 nilihukumiwa kwenda jela miaka 2 kwa kosa langu la kuiba hela kiasi cha milioni 17 kwa njia ya udanganyifu.
Nakumbuka kesi yangu ilikosa ushahidi wa kutosha lakini kuna vipengele nilikiri hivyo hakimu akanipiga nyundo 2. Nashkuru milioni 17 nimeikuta sehemu nilipoificha baada ya kutoka jela nimeamua kutafuta passport nikimbie nikatafute kazi Dubai.
Hii nchi sio jamani.
Mimi ndio nimetoka leo jela baada ya kumaliza kifungo changu. Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 nilihukumiwa kwenda jela miaka 2 kwa kosa langu la kuiba hela kiasi cha milioni 17 kwa njia ya udanganyifu.
Nakumbuka kesi yangu ilikosa ushahidi wa kutosha lakini kuna vipengele nilikiri hivyo hakimu akanipiga nyundo 2. Nashkuru milioni 17 nimeikuta sehemu nilipoificha baada ya kutoka jela nimeamua kutafuta passport nikimbie nikatafute kazi Dubai.
Hii nchi sio jamani.