Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu, kwa hiyo unaweza apply na mkopo upya na ukapata???usiporipot unapata nafac ya kuja kuaply free mwkan chuo unachokitaka
umekua wakala wa jktNendeni mkaombe kupostpone mwaka ili nafasi zenu zihifadhiwe....kisha njooni muombe nafasi za kujitolea JKT...mkibahatika miaka ya mbele mnaweza kupata ajira
taratibu zote za kupostpone ni baada ya kulipa ada ya semista moja na baadhi ya michangoNendeni mkaombe kupostpone mwaka ili nafasi zenu zihifadhiwe....kisha njooni muombe nafasi za kujitolea JKT...mkibahatika miaka ya mbele mnaweza kupata ajira
Hiv nikiomba mwakani tcu hawala niconsider kama continuous students.. Japokuwa sijajisajili???? Nisaidieni apaataratibu zote za kupostpone ni baada ya kulipa ada ya semista moja na baadhi ya michango
Hiv nikiomba mwakani tcu hawala niconsider kama continuous students.. Japokuwa sijajisajili???? Nisaidieni apaa
Ila mim sijajisajili chuon mkuu ...na sijalipa hata mia..watanaconcider vip kama studentsNdio itakuwa hivyo kule TCU utaonekana ni mwanafunzi unayeendelea kusoma ila kuna taratibu itabidi uzifuate ili wakupangie tena chuo.
you cant be considered by TCU kama mwqnafunzi wa chuo husika kama hukuenda kupostpone. na taratibu za postpone mpk ufanye usajili otherwise TCU watacancel jina lako kwenye system kwa kuwa chuo ulichopangiwa watapeleka report ya wanafunz walioripot na kujisajili hivyo kama usipoenda chuoni kupostpone mwakani utaanza upya maombiHiv nikiomba mwakani tcu hawala niconsider kama continuous students.. Japokuwa sijajisajili???? Nisaidieni apaa
Yaap mwenyew nataka ivo ivo mwakani niombe upya tu ...sina namnayou cant be considered by TCU kama mwqnafunzi wa chuo husika kama hukuenda kupostpone. na taratibu za postpone mpk ufanye usajili otherwise TCU watacancel jina lako kwenye system kwa kuwa chuo ulichopangiwa watapeleka report ya wanafunz walioripot na kujisajili hivyo kama usipoenda chuoni kupostpone mwakani utaanza upya maombi
fanya hivyo mkuuYaap mwenyew nataka ivo ivo mwakani niombe upya tu ...sina namna
Ila mim sijajisajili chuon mkuu ...na sijalipa hata mia..watanaconcider vip kama students
Vip board ya mikopo sinaweza kuomba kama fresher's student au.???Hata usipojissjiri jina lako TCU litaonekana ni mwanafunzi unayeendelea, kuna dogo alipata chuo mwaka juzi hakwenda kuripoti chuo na mwaka huu ameomba tena ila jina lake likaonekana TCU kuwa anaendelea kusoma Ila alichotakiwa kufanya ni kuomba aandikiwe barua kutoka kwenye kile chuo alichopangiwa mwaka juzi kuonesha sio mwanafunzi wa pale ndio akapangiwa tena chuo.
Kwahiyo usikate tamaa kila kitu kinawezekana.
unaomba tu.Vip board ya mikopo sinaweza kuomba kama fresher's student au.???