mdizi 2021
Member
- May 4, 2021
- 55
- 52
Kama kichwa kinavyojieleza hapo, mimi kijana mwenye elimu ya kidato cha nne. Naomba mnisaidie mtu yoyote mwenye uhitaji wa kufanyiwa kazi kama vile:
1. Kunituma kutoka sehemu 1 hadi nyengine kupeleka bidhaa au kununua.
2. Ulinzi wa eneo lake la kazi.
3, Usafi wa magari
4. Kuuza duka, nipo Dar Mbagala wakuu mimi mwaminifu sana utanilipa kwa siku baada ya kazi.
Au kazi yoyote mimi naweza kufanya.
1. Kunituma kutoka sehemu 1 hadi nyengine kupeleka bidhaa au kununua.
2. Ulinzi wa eneo lake la kazi.
3, Usafi wa magari
4. Kuuza duka, nipo Dar Mbagala wakuu mimi mwaminifu sana utanilipa kwa siku baada ya kazi.
Au kazi yoyote mimi naweza kufanya.